Operesheni Haki yaingia Kanda ya Nyasa, kuanzia Mbeya Mjini

Operesheni Haki yaingia Kanda ya Nyasa, kuanzia Mbeya Mjini

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Ule mkakati kabambe wa kudai Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi, ukiambatana na usimikwaji wa Chadema Digital nchi nzima sasa umeingia Kanda nzito ya Nyasa, kwa kuanzia Mkoa wa Mbeya.

Ikumbukwe kwamba Mbeya ndio Mkoa ambao Chalamila alitokea kabla ya kupigwa laana na Wazee wa Kyela baada ya kukamata kijiji kizima kwa madai ya kumtupia mawe Mkuu wa Wlaya ya Kyela , na juzi kati akahamishiwa Mwanza na baada ya siku chache sana katimuliwa.

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.

Chadema_Digital_on_Instagram:_“Tumeingia_Kanda_ya_Nyasa_%0A#TumeHuruyaUchaguzi%0A#HakizaWatu%0...jpg


chadematz_on_Instagram:_“Mapokezi_ya_mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_Mhe._Freeman_Mbowe_Mkoani_Mbe...jpg
No_Hate_No_Fear_on_Instagram:_“Mapokezi_ya_mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_Mhe._Freeman_Mbowe_Mkoa...jpg
 
Usikalie habari , tuwekee na sisi hapa tukusaidie kuomba
Mkuu sitaki kusema sana najua nawe ule uzi umeusoma mpka ulicoment kwa neno hili "aisee"
alafu kuna mdau akakwambia ndio hivyo.

Nikiri wazi kuwa katika pilika zangu na kazi yangu nilikuwa naona nayafahamu mengi sana na mengine ya kutisha ila baada ya kusoma ule uzi usiku nilijiona mie ni kidagaa tu kumbe, na tokea hapo nikaona liwalo na liwe Mimi na Chadema hadi kufa haijalishi namtukia Shetani upande mwingine😭😭😭🤐🤐
 
Ule mkakati kabambe wa kudai Katiba Mpya na Tume huru ya uchaguzi, ukiambatana na usimikwaji wa Chadema Digital nchi nzima sasa umeingia Kanda nzito ya Nyasa, kwa kuanzia Mkoa wa Mbeya.

Ikumbukwe kwamba Mbeya ndio Mkoa ambao Chalamila alitokea kabla ya kupigwa laana na Wazee wa Kyela baada ya kukamata kijiji kizima kwa madai ya kumtupia mawe Mkuu wa Wlaya ya Kyela , na juzi kati akahamishiwa Mwanza na baada ya siku chache sana katimuliwa.

Endelea kubaki hapa hapa JF kwa taarifa za Uhakika.

View attachment 1815071
Nimekukataza kuleta vi sredi mbuzi, umegangamala siyo?
 
Mkuu sitaki kusema sana najua nawe ule uzi umeusoma mpka ulicoment kwa neno hili "aisee"
alafu kuna mdau akakwambia ndio hivyo.

Nikiri wazi kuwa katika pilika zangu na kazi yangu nilikuwa naona nayafahamu mengi sana na mengine ya kutisha ila baada ya kusoma ule uzi usiku nilijiona mie ni kidagaa tu kumbe, na tokea hapo nikaona liwalo na liwe Mimi na Chadema hadi kufa haijalishi namtukia Shetani upande mwingine😭😭😭🤐🤐
Hebu tuwekee na sisi hapa kamanada tujikumbushe kidogo
 
Hebu tuwekee na sisi hapa kamanada tujikumbushe kidogo
Aisee huko sio hata kujikumbusha Bali unaweza jiuliza naishi Tanzania hii au kuzimu mkuu, maana kama ni uovu Basi watu wameutenda na wanasubiri malipo japo ukiwaona hutadhani.

Tunaomba tuipende Chadema kwa mioyo yetu wenyewe toka ndani na kuwaombea wenye mioyo halisi ya kututoa utumwani daima, sikuwahi kumwelewa mnyaturu mwenzangu Lissu ila baada ya huo uzi Basi niliinikuka na kuomba msamaha kwa Mungu kumbe hata kupona kwake ni mpango wa Mungu pia.

IPENDE TANZANIA IPENDE CHADEMA
 
Back
Top Bottom