Operesheni haki yaingia Pemba

Operesheni haki yaingia Pemba

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Kwa mujibu wa Taarifa za dunia, ulioitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, Pemba ndio eneo lililoongoza kwa mauaji ya raia, wakiwemo watoto na vikongwe.

Wote waliounga mkono Maalim Seif na upinzani walishughulikiwa ipasavyo, zipo tetesi kwamba kulikuwa na majeshi ya kukodi kutoka nchi za kigeni ili kuisaidia CCM kushinda kwa mabavu.

Sasa leo tumeipeleka OPERESHENI HAKI Pemba kwa lengo la kuhamasisha uwepo wa Katiba Mpya na Tume Huru ya uchaguzi ili kuleta haki nyakati zote ikiwemo na wakati wa Uchaguzi, Tunaamini baada ya Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na mauaji tena, wala hakutakuwa na Askari wa kukodi.

Chadema_kaskazini_on_Instagram:_“Naibu_Katibu_Zanzibar_Mhe._Salum_Mwalim,__Naibu_Katibu_Mkuu_B...jpg

Picha : Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe akiwasili kisiwani Pemba kuongoza Operesheni Haki

BAVICHA_&_CHASO_on_Instagram:_“Mwenyekiti_wa_Chadema_Taifa_Mhe._@freemanmbowetz_amewasili_...jpg
 
Pemba hakuna Chadema. Hiyo Ofisi unayoiona ni kanyaboya ili kuhadaa watu. Pita baada ya wiki kama utakuta hicho kibao.
 
Kwa mujibu wa Taarifa za dunia, ulioitwa Uchaguzi Mkuu wa 2020, Pemba ndio eneo lililoongoza kwa mauaji ya raia, wakiwemo watoto na vikongwe.

Wote waliounga mkono Maalim Seif na upinzani walishughulikiwa ipasavyo, zipo tetesi kwamba kulikuwa na majeshi ya kukodi kutoka nchi za kigeni ili kuisaidia CCM kushinda kwa mabavu.

Sasa leo tumeipeleka OPERESHENI HAKI Pemba kwa lengo la kuhamasisha uwepo wa Katiba Mpya na Tume Huru ya uchaguzi ili kuleta haki nyakati zote ikiwemo na wakati wa Uchaguzi, Tunaamini baada ya Katiba Mpya na Tume Huru hakutakuwa na mauaji tena, wala hakutakuwa na Askari wa kukodi.


Picha : Mwamba Mwenyewe Freeman Mbowe akiwasili kisiwani Pemba kuongoza Operesheni Haki

View attachment 1842481
Chadema wanataka kuwafanya Wapemba chambo, kwanini wasianzie Uchagani huko. Wanaona Wapemba ndio steering wa fujo ili wawe chambo.
 
Back
Top Bottom