Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
- Thread starter
-
- #21
umeishia darasa la ngapi ?Chadema wanataka kuwafanya Wapemba chambo, kwanini wasianzie Uchagani huko. Wanaona Wapemba ndio steering wa fujo ili wawe chambo.
La kwanza C wewe je?umeishia darasa la ngapi ?
Kila pembe ya tanzania Chadema ipoChadema inafahamika Pemba?
Vipi kongwa Chadema inafahamika.
Kila pembe ya tanzania Chadema ipoChadema inafahamika Pemba?
Vipi kongwa Chadema inafahamika.
Ukweli mtupuKila pembe ya tanzania Chadema ipo
Tatizo wachagga na wapemba wote wanaijua pesaš¤£Chadema inafahamika Pemba?
Vipi kongwa Chadema inafahamika.
Acha uongo weweTatizo wachagga na wapemba wote wanaijua pesaš¤£
Ndio maana mambo magumu. Hawa kina mangi wamewaweza wakurya tu na wanyakyusa.
Vyama vingine Wamepeleka maombi kwa Samia Wanasubiri uteuziHivi chadema wanawezaje? Mbona vyama vingine wanashindwa?