Operesheni Haki yatinga Ruangwa, Umati wajitokeza kumpokea Freeman Mbowe

Operesheni Haki yatinga Ruangwa, Umati wajitokeza kumpokea Freeman Mbowe

Erythrocyte

JF-Expert Member
Joined
Nov 6, 2012
Posts
128,308
Reaction score
245,426
Hilo ndilo jimbo ambalo anatokea Waziri Mkuu wa Tanzania Mh Kasimu Majaliwa , kwenye kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa 2020 Mh huyu alipita bila kupingwa, baada ya wagombea wa upinzani kuzuiwa kuchukua ama kurejesha fomu , huku wengine wakitekwa na kuokotwa Mkuranga wakiwa hoi.

Video hii ya Mapokezi ya Mwamba itakuonyesha kwanini ilikuwa lazima Majaliwa apitishwe bila kupingwa ili kulinda heshima yake.

 
Uchaguzi wa 2020, kwa kweli uiliwafanya watu qwnye akili kumdharau kabisa marehemu, na kumwona ani mtu ambaye hakuwa na faida kwa Taifa.

Ni marehemu ndiye anawafanya wabunge hawa waliopitishwa kishetani, kukosa kabisa confidence mbele ya wapiga kura.
 
Uchaguzi wa 2020, kwa kweli uiliwafanya watu qwnye akili kumdharau kabisa marehemu, na kumwona ani mtu ambaye hakuwa na faida kwa Taifa.

Ni marehemu ndiye anawafanya wabunge hawa waliopitishwa kishetani, kukosa kabisa confidence mbele ya wapiga kura.
Ameua kabisa CCM, kinyume kabisa na wengi walivyodhani
 
Uchaguzi wa 2020, kwa kweli uiliwafanya watu qwnye akili kumdharau kabisa marehemu, na kumwona ani mtu ambaye hakuwa na faida kwa Taifa.

Ni marehemu ndiye anawafanya wabunge hawa waliopitishwa kishetani, kukosa kabisa confidence mbele ya wapiga kura.
Alikuwa Hamnazo kweli kweli. Na hata watu wanaomsapoti wote wana sifa hizo hizo!

"Never... Never again"
 
Hilo ndilo jimbo ambalo anatokea Waziri Mkuu wa Tanzania Mh Kasimu Majaliwa , kwenye kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa 2020 Mh huyu alipita bila kupingwa, baada ya wagombea wa upinzani kuzuiwa kuchukua ama kurejesha fomu , huku wengine wakitekwa na kuokotwa Mkuranga wakiwa hoi.

Video hii ya Mapokezi ya Mwamba itakuonyesha kwanini ilikuwa lazima Majaliwa apitishwe bila kupingwa ili kulinda heshima yake.

View attachment 1821949
Dj anapaa tu kwa kutumia ndege za rais Magufuli
 
Hilo ndilo jimbo ambalo anatokea Waziri Mkuu wa Tanzania Mh Kasimu Majaliwa , kwenye kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa 2020 Mh huyu alipita bila kupingwa, baada ya wagombea wa upinzani kuzuiwa kuchukua ama kurejesha fomu , huku wengine wakitekwa na kuokotwa Mkuranga wakiwa hoi.

Video hii ya Mapokezi ya Mwamba itakuonyesha kwanini ilikuwa lazima Majaliwa apitishwe bila kupingwa ili kulinda heshima yake.

View attachment 1821949
Haaahaaa mkuu si tuliambiwa CHADEMA ipo mjini tu??
 
Maskini Majaliwa akaingiwa na Ile roho katili akakubali mbinu za kihuni 2020 kuwaengua wachumbiaji wenzake kibabe kwa msaada wa dola.Hili litamgarimu 2025 asisubutu gombea nafasi ya juu.
 
Hilo ndilo jimbo ambalo anatokea Waziri Mkuu wa Tanzania Mh Kasimu Majaliwa , kwenye kilichoitwa uchaguzi Mkuu wa 2020 Mh huyu alipita bila kupingwa, baada ya wagombea wa upinzani kuzuiwa kuchukua ama kurejesha fomu , huku wengine wakitekwa na kuokotwa Mkuranga wakiwa hoi.

Video hii ya Mapokezi ya Mwamba itakuonyesha kwanini ilikuwa lazima Majaliwa apitishwe bila kupingwa ili kulinda heshima yake.

View attachment 1821949
Duuh Watu utadhani wamekutana na Nabii
 
Maskini Majaliwa akaingiwa na Ile roho katili akakubali mbinu za kihuni 2020 kuwaengua wachujiaji wenzake kibabe kwa msaada wa dola.Hili litamgarimu 2025 asisubutu gombea nafasi ya juu.
Tena mpinzani wake aliporwa Fomu mbele ya DED na mapolisi Kwenye ofisi za Msimamizi.
 
Back
Top Bottom