Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 2,536
- 4,621
Russia kuishinda Ukraine ni ndoto za mbwa koko,never..Ukraine lazima ashinde
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani manyovu hakuna wasomi mkuu, kama tu kilombero tuna msomi wa shahada ya mahusiano na vita huko manyovu atakosekana kweliAlisikika mchambuzi wa masuala ya kimataifa kutoka Manyovu.
Hata Sadam Husein hakukiri hata siku moja kwamba ameshindwaTrue bro alaf hizi taarifa kuwa Putin ajafikia malengo yake kazitoa nani kasema mwenyewe Putin au wasemaji wake binafsi wa kujitolea.
kwahiyo boss unataka kumfananisha hussein na vladimir... uko ni kumtukana vladimir wazi waziHata Sadam Husein hakukiri hata siku moja kwamba ameshindwa
Asidharauliwe bado ana nguvu na akianguka Putin kishindo chake kitakuwa kikubwa.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] unateseka ukiwa wapi mwenzetu.Operesheni maalum" ya Putin haijaenda kulingana na mpango. Kile kilichopaswa kuchukua siku au wiki kadhaa tayari imechukua miezi kadhaa.
Kremlin inaonekana kabisa haikuchukulia upinzani wa Ukraine kwa uzito mkubwa.
Magharibi kuunga mkono Kyiv na wimbi la vikwazo vya kimataifa ambavyo Urusi ingekabiliana nayo. Kaputin ameingia choo cha kike, Achana na Nchi za Magharibi wanachheza na akili za Kaputini. Wana akili sana hao wajamaa.
Ukraine ikirudi kama zamani basi uje unikate kichwa.Russia kuishinda Ukraine ni ndoto za mbwa koko,never..Ukraine lazima ashinde
Duh.. Ndio ukaamua kubinua midomo hivyo?Unafikaga huku?nimezoea kukuona kuleeee[emoji1787][emoji1787][emoji1787]View attachment 2404226
Ni kweli hawafanani ila pia mazingira ya vita hayafanani. Hii vita inapiganwa kwa akili kubwa kuliko zana za kivita. Wakati wa vita kati ya Marekani na Iraq mataifa mengi ya ulaya yalitangaza wazi wazi kuiunga mkono Marekani, kwa sababu taifa la Iraq halikuwa tishio kwao kama lilivyo taifa la Russia. Sasa elewa kwa mbinu ambazo mataifa ya magharibi yametumia kuisapoti Ukrane kwa sasa pamoja na kwamba hawajionyeshi moja kwa moja ila zimeifanya Russia kupata wakati mgumu na ndio maana Russia amepigana kwa muda mrefu tofauti na alivyotegemea kwamba atapiga Ukrane kwa wiki moja tu. Mpaka sasa putin ana majuto ya ndani kwa ndani yanayomfanya ajutie kuanzisha hii operation.kwahiyo boss unataka kumfananisha hussein na vladimir... uko ni kumtukana vladimir wazi wazi
lakini pia unatakiwa kujua kupindua nchi na kuweka uongozi wengine kwa njia ya mapinduz sio swala la miezi miwili au mitatu.Ni kweli hawafanani ila pia mazingira ya vita hayafanani. Hii vita inapiganwa kwa akili kubwa kuliko zana za kivita. Wakati wa vita kati ya Marekani na Iraq mataifa mengi ya ulaya yalitangaza wazi wazi kuiunga mkono Marekani, kwa sababu taifa la Iraq halikuwa tishio kwao kama lilivyo taifa la Russia. Sasa elewa kwa mbinu ambazo mataifa ya magharibi yametumia kuisapoti Ukrane kwa sasa pamoja na kwamba hawajionyeshi moja kwa moja ila zimeifanya Russia kupata wakati mgumu na ndio maana Russia amepigana kwa muda mrefu tofauti na alivyotegemea kwamba atapiga Ukrane kwa wiki moja tu. Mpaka sasa putin ana majuto ya ndani kwa ndani yanayomfanya ajutie kuanzisha hii operation.
Ha ha hanakubalina na wewe per 100% putin hata siku moja hawez kusema kashindwa wala kusema mipang yake hadharani.
Malengo ya Putin tangu awali yalikuwa wazi.Unaweza kuta anaesema hivyo mpaka Sasa anakula kwa mama yake bira kutoa msaada wowote hapo home, hajayajua malengo ya huyo anaemzungumzia lakin anasema malengo yake hayajatimia ukiimuuliza yapi hayo malengo yake anayoyajua yeye hayataji.
The power of IQOperesheni maalum" ya Putin haijaenda kulingana na mpango. Kile kilichopaswa kuchukua siku au wiki kadhaa tayari imechukua miezi kadhaa.
Kremlin inaonekana kabisa haikuchukulia upinzani wa Ukraine kwa uzito mkubwa.
Magharibi kuunga mkono Kyiv na wimbi la vikwazo vya kimataifa ambavyo Urusi ingekabiliana nayo. Kaputin ameingia choo cha kike, Achana na Nchi za Magharibi wanachheza na akili za Kaputini. Wana akili sana hao wajamaa.
Mkuu umeona Ehee?The power of IQ