Natamani Makamanda wamsifu huyu Mwamba CCM.Operesheni ya Okoa Bandari zetu sasa ni zamu ya wakazi wa Mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mara ambapo itawafikia wananchi wa Jimbo la Kisesa linaloongozwa bungeni na Luhaga Mpina.
Mbowe na Tundu Lissu watafika Jimbo la Kisesa kuwaeleza wananchi kuhusu suala la Mkataba wa Bandari
Kukamatana ni mambo ya kishamba sana! Jibuni hojaLissu na Mbowe wanajua kuwasilisha hoja.
Hawawezi kukamatwa kirahisi.
Tuendelee kuheshimiana na kupendana kama watanzania.
Exactly.Kukamatana ni mambo ya kishamba sana ! jibuni hoja
Alitumika kuchoma nyavu za wavuvi wakati wa awamu ya kidikteta
Katika hili nitasimama na Luhaga Mpina hadi mwisho..
Mbowe na Tundu Lissu watafika Jimbo la Kisesa kuwaeleza wananchi kuhusu suala la Mkataba wa Bandari[emoji419][emoji375]Operesheni ya Okoa Bandari zetu sasa ni zamu ya wakazi wa Mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mara ambapo itawafikia wananchi wa Jimbo la Kisesa linaloongozwa bungeni na Luhaga Mpina.
Mbowe na Tundu Lissu watafika Jimbo la Kisesa kuwaeleza wananchi kuhusu suala la Mkataba wa Bandari
Natumaini Mpina atapanda jukwaaniOperesheni ya Okoa Bandari zetu sasa ni zamu ya wakazi wa Mikoa ya Shinyanga, Simiyu na Mara ambapo itawafikia wananchi wa Jimbo la Kisesa linaloongozwa bungeni na Luhaga Mpina.
Mbowe na Tundu Lissu watafika Jimbo la Kisesa kuwaeleza wananchi kuhusu suala la Mkataba wa Bandari
Pia wawaelekeze wananchi hao ubaya ajenda za vitendo vya mahusiano ya jinsia moja na wahimize sheria kutumika kwa wote wanaojihusisha na vitendo hivyo.Mbowe na Tundu Lissu watafika Jimbo la Kisesa kuwaeleza wananchi kuhusu suala la Mkataba wa Bandari
Wasisahau kupandisha jukwaani Wainjilist na kuwasomea Waraka wa TEC wahudhuriaji pia wasisahau kumtukana Mh.Rais na ma Rais waliopitaPia wawaelekeze wananchi hao ubaya ajenda za vitendo vya mahusiano ya jinsia moja na wahimize sheria kutumika kwa wote wanaojihusisha na vitendo hivyo.
Hivi Elimu kwa wananchi juu ya sera na mipango ya Chama hicho cha Chadema kuwaletea maendeleo Watanzania imeishaeleweka nchi nzima kweli? Au hilo jukumu si Muhimu?Mbowe na Tundu Lissu watafika Jimbo la Kisesa kuwaeleza wananchi kuhusu suala la Mkataba wa Bandari[emoji419][emoji375]