moodykabwe
JF-Expert Member
- Aug 16, 2015
- 625
- 602
TUENDELEE...
KARIGO ndiye alifanya FITNA za kumuondoa Kocha wa Viungo Msauzi Afrika RIEDOH, alimpigia debe yule Kocha wa viungo wa Taifa Stars ambaye Yanga walimpa ajira ya Muda kabla ya Kocha mwenyewe kukata ajira ya kudumu.
KARIGO ndiye aliyekuwa mpika majungu Mkuu ya kuwaondoa Daktari Mngazija na Kocha Msaidizi Juma Mwambusi na alifanikiwa na ndipo akafanikiwa kuwaingiza 'Watu wake' Dkt Muganda na Nizar Khalfan kama Kocha Msaidizi ambao wote ana maslahi nao hata kama watakataa ukweli unajulikana.
Taarifa za uhakika kabisa ni kwamba, katika tukio la Kuvunja kwa benchi la Ufundi, KARIGO alikuwa amewatega pia Meneja wa timu Hafidh Saleh na mtunza vifaa Mpogolo na Afisa Usalama wa Klabu, lakini amefanikiwa kumpatia Afisa Usalama, Lengo hapa ni kwamba uweke watu wake ambao watakuwa na utii kwake ili afanikishe MPANGO wake ambao hata GSM sijui kama wanaujua.
Kuna Mengi ambayo KARIGO ameyapanga ili kuuvuruga uongozi wa MSOLLA, na kama uongzozi usingesimama imara tayari tulishakuwa tumepoteza Mpambanaji wetu HASSAN BUMBULI ambaye ni Fitna za KARIGO na NUGAZ zilisababisha akafungiwa. Ahsante Uongozi kwa kusimama IMARA, ingawa na wao wanajishaua kwamba walikuwa wakimsaidia.
KARIGO ni rafiki wa SENZO (Mahauari wa Yanga) kwa kutumia urafiki huo KARIGO alitaka kumtumia SENZO awashauri Kamati ya Utendaji wawatimue waajiriwa wa Klabu, mpango wake ilikuwa kumuondoa SIMON PATRICK NA HASSAN BUMBULI. Alifanikiwa kwa SlMON lakini SENZO alishtuka mapema akataa kuingia mkenge kwa BUMBULI kwani SENZO ANAAMINI BUMBULI pekee ndio mwenye Vinasaba halisi vya YANGA wengine ni fake.
Kutokana na SENZO kumgundua kwa sasa KARIGO kwa siri anashirikiana na upande mwingine kumuandalia ZENGWE SENZO aondoke nchini au Wanachama wamchukie Senzo kwa matokeo mabaya ya Timu.
GSM hiki ni kirusi mmeleta bila kujua.Nimeeleza machache tu, lakini kimsingi huyu KARIGO ni kirusi kibaya Sana ndani ya Yanga, yawezekana GSM hawajui hilo, lakini ukweli ni kwamba yeye ana mpango wake wa kuuangusha uongozi wa MSOLLA kupitia nafasi hiyo aliyopewa na GSM.
Anawapiga vita watu aliowakuta Klabuni na kwenye Timu waondoke ili alete watu wake, lakini anasuka mipango michafu ili uongozi utukanwe na Wanachama wafanye Mapinduzi na tayari ana Kamati yake ya Muda mfukoni ambayo anaiwasilisha kwa GSM kwamba itasaidia baada ya vurumai kutokea.
ITAENDELEA...
#SisiNiMashahidiTu
#hallaywsmm[emoji1241]
Pia soma: Operation OKOA YANGA Sehemu ya kwanza 1
KARIGO ndiye alifanya FITNA za kumuondoa Kocha wa Viungo Msauzi Afrika RIEDOH, alimpigia debe yule Kocha wa viungo wa Taifa Stars ambaye Yanga walimpa ajira ya Muda kabla ya Kocha mwenyewe kukata ajira ya kudumu.
KARIGO ndiye aliyekuwa mpika majungu Mkuu ya kuwaondoa Daktari Mngazija na Kocha Msaidizi Juma Mwambusi na alifanikiwa na ndipo akafanikiwa kuwaingiza 'Watu wake' Dkt Muganda na Nizar Khalfan kama Kocha Msaidizi ambao wote ana maslahi nao hata kama watakataa ukweli unajulikana.
Taarifa za uhakika kabisa ni kwamba, katika tukio la Kuvunja kwa benchi la Ufundi, KARIGO alikuwa amewatega pia Meneja wa timu Hafidh Saleh na mtunza vifaa Mpogolo na Afisa Usalama wa Klabu, lakini amefanikiwa kumpatia Afisa Usalama, Lengo hapa ni kwamba uweke watu wake ambao watakuwa na utii kwake ili afanikishe MPANGO wake ambao hata GSM sijui kama wanaujua.
Kuna Mengi ambayo KARIGO ameyapanga ili kuuvuruga uongozi wa MSOLLA, na kama uongzozi usingesimama imara tayari tulishakuwa tumepoteza Mpambanaji wetu HASSAN BUMBULI ambaye ni Fitna za KARIGO na NUGAZ zilisababisha akafungiwa. Ahsante Uongozi kwa kusimama IMARA, ingawa na wao wanajishaua kwamba walikuwa wakimsaidia.
KARIGO ni rafiki wa SENZO (Mahauari wa Yanga) kwa kutumia urafiki huo KARIGO alitaka kumtumia SENZO awashauri Kamati ya Utendaji wawatimue waajiriwa wa Klabu, mpango wake ilikuwa kumuondoa SIMON PATRICK NA HASSAN BUMBULI. Alifanikiwa kwa SlMON lakini SENZO alishtuka mapema akataa kuingia mkenge kwa BUMBULI kwani SENZO ANAAMINI BUMBULI pekee ndio mwenye Vinasaba halisi vya YANGA wengine ni fake.
Kutokana na SENZO kumgundua kwa sasa KARIGO kwa siri anashirikiana na upande mwingine kumuandalia ZENGWE SENZO aondoke nchini au Wanachama wamchukie Senzo kwa matokeo mabaya ya Timu.
GSM hiki ni kirusi mmeleta bila kujua.Nimeeleza machache tu, lakini kimsingi huyu KARIGO ni kirusi kibaya Sana ndani ya Yanga, yawezekana GSM hawajui hilo, lakini ukweli ni kwamba yeye ana mpango wake wa kuuangusha uongozi wa MSOLLA kupitia nafasi hiyo aliyopewa na GSM.
Anawapiga vita watu aliowakuta Klabuni na kwenye Timu waondoke ili alete watu wake, lakini anasuka mipango michafu ili uongozi utukanwe na Wanachama wafanye Mapinduzi na tayari ana Kamati yake ya Muda mfukoni ambayo anaiwasilisha kwa GSM kwamba itasaidia baada ya vurumai kutokea.
ITAENDELEA...
#SisiNiMashahidiTu
#hallaywsmm[emoji1241]
Pia soma: Operation OKOA YANGA Sehemu ya kwanza 1