CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,872
- 9,263
- Thread starter
- #21
Yapu,Ila pia yanaliwa sana tuHayo watu wana panda kama urembo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yapu,Ila pia yanaliwa sana tuHayo watu wana panda kama urembo
ndio kinacho fuata mkuuFaida hizo nyingi ni zipi, mbona huzitaji?
Au unataka kuanzisha project ya Namaingo na Kijani Kibichi ya Adam Rashid Ngemange?
ungesema "itaendelea" umeishia juujuu ndo maana watu wanakuwakia chief.ndio kinacho fuata mkuu
Ni mazuri sana Mwilini kuliko matunda mengi sana,na pia ni comercialy kwa wenzetu,na pia majani yake yanafaida lukuki sana,Tumeyala sana kijijin kwetu.matunda yake ndan njano sana na unga unga.
Hakuna mtu anaye weza nipangia jinsi ya kupost,Pia hizi privkly pears ukiingia google kuna habari zake nyingi changu nzima.Kuna mtu kanifuata Pm ka google na anastajabu kabisa.ungesema "itaendelea" umeishia juujuu ndo maana watu wanakuwakia chief.
Sawa mkuu ila hata demu wako akikupa utamu nusunusu najua utamind tu, japo utamu ni wake na hakuna wa kumpangia jinsi ya kutoa.(just joking dude), usije ukanipopoa bure,Hakuna mtu anaye weza nipangia jinsi ya kupost,Pia hizi privkly pears ukiingia google kuna habari zake nyingi changu nzima.Kuna mtu kanifuata Pm ka google na anastajabu kabisa.