Oppenheimer ni movie yenye story nzuri sana ila wengi wanaiona complicated

Hunaa akili, sijui kwanini unalilia kila movie iwe kwenye niche yako. Unajiitaje "Smart Contract" na hapa unaonekana ni "Bogus Contract".
 
Nimekuwa nikifuatilia historia za WW2 zikiwemo fact based docudrama nyingi za Opennheimer...
Kwa kuangalia movie, itakuwa kama nilivyosoma kitabu cha "Godfather" halafu nikaja kuangalia Trilogy zote za Godfather kwenye movie.
Nilipata mfadhaiko kutokana na uongo mwingi kuliko uhalisia.....
 
Hunaa akili, sijui kwanini unalilia kila movie iwe kwenye niche yako. Unajiitaje "Smart Contract" na hapa unaonekana ni "Bogus Contract".
Hunaa akili, sijui kwanini unalilia kila movie iwe kwenye niche yako. Unajiitaje "Smart Contract" na hapa unaonekana ni "Bogus Contract".
waambie moderator wabadili jina liwe bogus contract,
ukishindwa hoja usikimbilie kutukana
 
Movie nyingine huandaliwa kwa kundi flan la watu. Sisi tukomae na akina Mkojani tutafika tu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…