Kilangi masanja
JF-Expert Member
- Aug 20, 2013
- 4,495
- 5,025
Habari wadau humu jukwaaani,
Kama pengine kuna member ana simu tajwa hapo juu maybe imekufa mashine au shida ingine.
Mimi mdau mwenzake nina uhitaji wa kioo cha simu kama hiyo, kama yupo anicheki inbox au anijibu post yangu kisha tuone namna ya kuweza kufanya biashara nae.
Sihitaji kuingia gharama kubwa kununua kioo org online ambako ina cost zaidi ya 1.8 laki na ilhali simu nilinunua kwa 2.3laki used toka china na hata hapa napotype naitumia japo imevjia wono upande mmoja
Kama pengine kuna member ana simu tajwa hapo juu maybe imekufa mashine au shida ingine.
Mimi mdau mwenzake nina uhitaji wa kioo cha simu kama hiyo, kama yupo anicheki inbox au anijibu post yangu kisha tuone namna ya kuweza kufanya biashara nae.
Sihitaji kuingia gharama kubwa kununua kioo org online ambako ina cost zaidi ya 1.8 laki na ilhali simu nilinunua kwa 2.3laki used toka china na hata hapa napotype naitumia japo imevjia wono upande mmoja