Pakacha,
Wapinzani kule DRC walikuwa na malalamiko kama haya katika uchagizi mkuu wa 2006, serikali ikaona hebu imchague mtu ambaye ataaminiwa na wadau wote, akamteua Askofu Apolinary Malumalu kuwa kiongozi wa tume, na wacongo wakafanya angalau kitu kinaitwa uchaguzi,sisemi na tz wafanye kama congo lakini uwepo mchakato wa kuteua tume itakayoridhiwa na vyama vyote na wadau wengine wa uchaguzi, wajumbe wachekechwe na watoke katika makundi ¨"fair" katika jamii,kama taasisi za haki za binaadamu mfano akina mama Kidjo Bisimba, Prof. Haroub Othman etc namna kama hiyo(si lazima wawe hao,lkn wanaweza kuwa kama hao).