Optajoe hawajawahi danganya Messi ni G.O.A.T taka usitake!..

Optajoe hawajawahi danganya Messi ni G.O.A.T taka usitake!..

Wick

JF-Expert Member
Joined
Dec 19, 2012
Posts
8,313
Reaction score
12,170
Optajoe jamaa wa takwimu wameshaachia takwimu zao kwa miaka 10 (2010-2019) guesswhat Lionell Messi kafunga zaidi, katoa assist zaidi, katake-on zaidi na katoa accurate end passes zaidi lakini kuna nyumbu zitakuja sema si lolote mbele ya cristina!.
Kile kiumbe si dunia hii!.. Sikisahau toka siku kilipotuadhibu Arsenal!..
IMG_20191231_232817.JPG
IMG_20191231_232946.JPG
 
Amekulia kwenye moja ya timu bora duniani , atoke aende wapi. Ukianzia kwenye timu ndogo utapambana kadri ya uwezo wako uende kuchezea timu kubwa lakini huwezi kuanzia timu kubwa ukapambana kwenda kuchezea timu ndogo
hiyo ni sawa na kuzaliwa osterbay ukaamua kwenda kuishi kwa mtogole

*Hata mfalme wa soka Edson Arantes do Nascimento Pele akiwa kwenye ubora wake alichezea Santos tu alivyochoka ndo akaenda kula maisha New York Cosmos*

"GOAT" ambae amaeng'ang'ania kula nyasi za camp nou peke yake

Sent using Jamii Forums mobile app

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Maana ya G.O.A.T tafadhali?

Kiswahili ni mchezaji au mwanamichezo wa muda wote(Greatest Off All Time)pia inategemea kwenye kitu anachokifanya huenda akawa msanii au mwanasiasa N.K
 
G.O.A.T joga kula nyasi za mahali pengine zaidi ya za Nou Camp tu,likila za mahali pengine linaharisha harisha eti kisa hajazizowea.Kwa kifupi hili ni G.O.A.T JOGAA
 
Back
Top Bottom