Nitaka nikufollow ww lkn sion hyo option
Nataka nkufolo ww
Chief kwangu hata mtu akichangia kwenye mada pia inaleta. Samahani mkuu, unatumia browser au app?Naona inaleta started thread pekee sindio.. au na reply zote.
OkNataka nkufolo ww
Unataka emoji gani zipi hizoAlafu mbn me sion emoji kwangu?
Nielekeze plz me mgeni kwa hii forum