C Chapati 2 Senior Member Joined Dec 11, 2020 Posts 129 Reaction score 284 Oct 21, 2024 Thread starter #41 Public Prosecutor said: MUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI π Click to expand... Hongera sana sana mkuu... Kwanza kwa kuwa na moyo wa kushare taarifa za msingi Pili kwa Mungu kukupa kibali kwenye nafasi hii.
Public Prosecutor said: MUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI π Click to expand... Hongera sana sana mkuu... Kwanza kwa kuwa na moyo wa kushare taarifa za msingi Pili kwa Mungu kukupa kibali kwenye nafasi hii.
C Chapati 2 Senior Member Joined Dec 11, 2020 Posts 129 Reaction score 284 Oct 21, 2024 Thread starter #42 Public Prosecutor said: MUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI π Click to expand... mkuu tukianza na written vipi ilibase kwenye masomo ya chuo au kwenye majukumu yako au Olevel/A-level? Pili kwenye oral Kuna swali ulijua Umejibu nje ya usahihi wake?
Public Prosecutor said: MUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI π Click to expand... mkuu tukianza na written vipi ilibase kwenye masomo ya chuo au kwenye majukumu yako au Olevel/A-level? Pili kwenye oral Kuna swali ulijua Umejibu nje ya usahihi wake?
Robin20 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2021 Posts 538 Reaction score 498 Oct 22, 2024 #43 Public Prosecutor said: MUNGU NI MWEMA NIMEPATA KAZI π Click to expand... Hongeraa zanaa
C Chapati 2 Senior Member Joined Dec 11, 2020 Posts 129 Reaction score 284 Nov 2, 2024 Thread starter #44 Sex body mkuu kwenye maswali yako ni kumention tu hamna kutoa mifano na maelezo au ulitoa mifano na maelezo kidogo??
Sex body mkuu kwenye maswali yako ni kumention tu hamna kutoa mifano na maelezo au ulitoa mifano na maelezo kidogo??
Sex body JF-Expert Member Joined Nov 30, 2023 Posts 407 Reaction score 900 Nov 2, 2024 #45 Chapati 2 said: Sex body mkuu kwenye maswali yako ni kumention tu hamna kutoa mifano na maelezo au ulitoa mifano na maelezo kidogo?? Click to expand... Mimi nilitoa tu maelekezo kwa kujiamini afu sikuacha hata swali moja yote nilijibu neno kwamba hujui usutamke kabsa we jitahidi ujibu
Chapati 2 said: Sex body mkuu kwenye maswali yako ni kumention tu hamna kutoa mifano na maelezo au ulitoa mifano na maelezo kidogo?? Click to expand... Mimi nilitoa tu maelekezo kwa kujiamini afu sikuacha hata swali moja yote nilijibu neno kwamba hujui usutamke kabsa we jitahidi ujibu
C Chapati 2 Senior Member Joined Dec 11, 2020 Posts 129 Reaction score 284 Nov 3, 2024 Thread starter #46 Sex body said: Mimi nilitoa tu maelekezo kwa kujiamini afu sikuacha hata swali moja yote nilijibu neno kwamba hujui usutamke kabsa we jitahidi ujibu Click to expand... Ubarikiwe sana sana mkuu.... Mungu akutangulie kwenye safari ya majukumu na maisha kwa ujumla.
Sex body said: Mimi nilitoa tu maelekezo kwa kujiamini afu sikuacha hata swali moja yote nilijibu neno kwamba hujui usutamke kabsa we jitahidi ujibu Click to expand... Ubarikiwe sana sana mkuu.... Mungu akutangulie kwenye safari ya majukumu na maisha kwa ujumla.