kama mnataka wanaume waandamane acheni... nimesoma tena lakini nilivyoelewa ni wanaume ndio watapata kansa ya koo!
Mhhh.........kama mnataka wanaume waandamane acheni... nimesoma tena lakini nilivyoelewa ni wanaume ndio watapata kansa ya koo!
kama mnataka wanaume waandamane acheni... nimesoma tena lakini nilivyoelewa ni wanaume ndio watapata kansa ya koo!
Tobaaaaaaaaaaaa!mbona mie ntapata?
mbona iko clear?au ushapata kinywaji nini ndo mana unajihisi njia panda?
kaizer umemuona wapi,kila nikimtafuta simuoni najihisi napata homa!
homa imekwisha baada ya kuona kuwa u mzima daktari wangu.daktari wako nipo mama...kama presha au home vyote vinapungua...utaalamu wak kuoperate bila kuwa na vidonda pia upo so usijali, nimerudi sasa
Mmm hii kubwa. hebu niache mie, nifanye yale aloagiza Mungu.
Mungu ameagiza mdomo utumike kufanya nini - kula na kunywa tu au na kubusu n.k.?