Ex Spy
JF-Expert Member
- Jan 15, 2007
- 222
- 1,827
Huyu ni Mmiliki wa Sharjah Trading (nitaeleza kwa undani kuhusu hii kampuni).
Miaka michache iliyopita wakati wa utawala wa Magufuli alikamatwa, akafunguliwa kesi ya utakatishaji fedha akafanya plea bargaining, ikakubaliwa - akalipa faini na kuachiwa.
Ramla alikamatwa juma lililopita, siku ya Alhamisi akawa anashikiliwa Cetral Police Mwanza.
Anamiliki Bureau De Change pale Mwanza ila anafanya biashara zake hadi mkoa wa Geita.
Hadi anakamatwa, alikuwa na pesa nyingi za kigeni ambazo hakuwa amezibadilisha na alikuwa anazitumia kununua madini aina ya dhahabu katika ‘black market’ kisha yeye analipwa 2-4% katika kila manunuzi.
Katika kuhangaika kwake ili ajinasue akawasiliana na Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini. Wao kwa kuanzia wakamkatalia. Wakasema kwakuwa tayari lipo katika mikono ya kikosi maalumu (task force) kinachoshughulikia haya masuala basi wao wanashindwa kuweka mkono.
Wakajaribu kumwona RC Shigella awasaidie. Akakataa ila Jumatatu ya wiki hii akawapigia, akawaambia anaweza kuwasaidia lakini ‘lazima wafanye jambo’ (PCCB fuatilieni, maafisa wenu wana taarifa).
Wakawa wanahaha waweze kumwona kijana mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa ambaye walielekezwa na Waziri mmoja kuwa wafanye hivyo, akiwaaminisha ndio pekee anayeweza kuwasaidia ndugu yao akaachiwa ila kwa kijana huyo wakagonga mwamba.
Sasa, leo vyanzo vyangu vinaonyesha Ramla kapewa shitaka la kununua dhahabu bila kufuata utaratibu. Kashapelekwa Geita na ana simu anawasiliana na watu wake.
Kuna kila dalili hela imetolewa katika mchakato huu.
Mumewe amegoma kutoa hela zake akisema zitumike za mtuhumiwa mwenyewe na katoa msimamo kuwa hata akifungwa yeye hajali. Watoto ndio wanahaha kumtoa mama yao.
Swali: Kina nani wako nyuma ya mama huyu?
Miaka michache iliyopita wakati wa utawala wa Magufuli alikamatwa, akafunguliwa kesi ya utakatishaji fedha akafanya plea bargaining, ikakubaliwa - akalipa faini na kuachiwa.
Ramla alikamatwa juma lililopita, siku ya Alhamisi akawa anashikiliwa Cetral Police Mwanza.
Anamiliki Bureau De Change pale Mwanza ila anafanya biashara zake hadi mkoa wa Geita.
Hadi anakamatwa, alikuwa na pesa nyingi za kigeni ambazo hakuwa amezibadilisha na alikuwa anazitumia kununua madini aina ya dhahabu katika ‘black market’ kisha yeye analipwa 2-4% katika kila manunuzi.
Katika kuhangaika kwake ili ajinasue akawasiliana na Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini. Wao kwa kuanzia wakamkatalia. Wakasema kwakuwa tayari lipo katika mikono ya kikosi maalumu (task force) kinachoshughulikia haya masuala basi wao wanashindwa kuweka mkono.
Wakajaribu kumwona RC Shigella awasaidie. Akakataa ila Jumatatu ya wiki hii akawapigia, akawaambia anaweza kuwasaidia lakini ‘lazima wafanye jambo’ (PCCB fuatilieni, maafisa wenu wana taarifa).
Wakawa wanahaha waweze kumwona kijana mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa ambaye walielekezwa na Waziri mmoja kuwa wafanye hivyo, akiwaaminisha ndio pekee anayeweza kuwasaidia ndugu yao akaachiwa ila kwa kijana huyo wakagonga mwamba.
Sasa, leo vyanzo vyangu vinaonyesha Ramla kapewa shitaka la kununua dhahabu bila kufuata utaratibu. Kashapelekwa Geita na ana simu anawasiliana na watu wake.
Kuna kila dalili hela imetolewa katika mchakato huu.
Mumewe amegoma kutoa hela zake akisema zitumike za mtuhumiwa mwenyewe na katoa msimamo kuwa hata akifungwa yeye hajali. Watoto ndio wanahaha kumtoa mama yao.
Swali: Kina nani wako nyuma ya mama huyu?