DOKEZO Organized Crime(?): Nani wapo nyuma ya Ramla Said Ahmed?

DOKEZO Organized Crime(?): Nani wapo nyuma ya Ramla Said Ahmed?

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'

Ex Spy

JF-Expert Member
Joined
Jan 15, 2007
Posts
222
Reaction score
1,827
Huyu ni Mmiliki wa Sharjah Trading (nitaeleza kwa undani kuhusu hii kampuni).

Miaka michache iliyopita wakati wa utawala wa Magufuli alikamatwa, akafunguliwa kesi ya utakatishaji fedha akafanya plea bargaining, ikakubaliwa - akalipa faini na kuachiwa.

Ramla alikamatwa juma lililopita, siku ya Alhamisi akawa anashikiliwa Cetral Police Mwanza.

Anamiliki Bureau De Change pale Mwanza ila anafanya biashara zake hadi mkoa wa Geita.

Hadi anakamatwa, alikuwa na pesa nyingi za kigeni ambazo hakuwa amezibadilisha na alikuwa anazitumia kununua madini aina ya dhahabu katika ‘black market’ kisha yeye analipwa 2-4% katika kila manunuzi.

Katika kuhangaika kwake ili ajinasue akawasiliana na Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini. Wao kwa kuanzia wakamkatalia. Wakasema kwakuwa tayari lipo katika mikono ya kikosi maalumu (task force) kinachoshughulikia haya masuala basi wao wanashindwa kuweka mkono.

Wakajaribu kumwona RC Shigella awasaidie. Akakataa ila Jumatatu ya wiki hii akawapigia, akawaambia anaweza kuwasaidia lakini ‘lazima wafanye jambo’ (PCCB fuatilieni, maafisa wenu wana taarifa).

Wakawa wanahaha waweze kumwona kijana mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa ambaye walielekezwa na Waziri mmoja kuwa wafanye hivyo, akiwaaminisha ndio pekee anayeweza kuwasaidia ndugu yao akaachiwa ila kwa kijana huyo wakagonga mwamba.

Sasa, leo vyanzo vyangu vinaonyesha Ramla kapewa shitaka la kununua dhahabu bila kufuata utaratibu. Kashapelekwa Geita na ana simu anawasiliana na watu wake.

Kuna kila dalili hela imetolewa katika mchakato huu.

Mumewe amegoma kutoa hela zake akisema zitumike za mtuhumiwa mwenyewe na katoa msimamo kuwa hata akifungwa yeye hajali. Watoto ndio wanahaha kumtoa mama yao.

Swali: Kina nani wako nyuma ya mama huyu?
 
Undercover operations spanning three continents, and thousands of documents, also shows how government officials and businesspeople are profiting off the illegal movement of gold across borders.

Who are the Gold Mafia? Godmen, conmen and a president’s niece

The investigation reveals how billions of dollars’ worth of gold is smuggled every month from Zimbabwe to Dubai, allowing criminals to whitewash dirty money through a web of shell companies, fake invoices and paid-off officials.

The investigation also shows how Zimbabwean President Emmerson Mnangagwa’s government is systematically using gold smugglers to get around the chokehold of Western sanctions imposed on the country. The money laundering and gold-smuggling schemes involve one of Zimbabwe’s most influential diplomats, and go all the way up to the president and his circle.

The smugglers include millionaires, one of whom was accused of almost bankrupting Kenya through a similar, corrupt scheme also involving gold.
 
Haya mambo hayajaanza kwa huyu.

Yapo sana na msishangae kama yatamwagwa hadharani majina mtabaki mnacheka tu.

Biashara hii ndio inasababisha nyie kuwa katika nchi masikini, na kupasua ni ndoto kwa sababu hakuna wa kuzuia.

Mtandao sio mpana tu bali una mizizi mikubwa sana.

Sio sisi tu bali nchi masikini zote zenye rasilimali hizi zitaendelea kunyonywa sana na matajiri.

Nchi nyingine zinaporomosha viwanda na majumba ya skyscrapers na kujisifu kumbe ni ujinga wa baadhi yetu wakifurahia uuzaji na upitishaji haramu wa madini kila kukicha.

Nendeni mkasajili mahindi wakati almasi zinapita tu
 
Huyu ni Mmiliki wa Sharjah Trading (nitaeleza kwa undani kuhusu hii kampuni).

Miaka michache iliyopita wakati wa utawala wa Magufuli alikamatwa, akafunguliwa kesi ya utakatishaji fedha akafanya plea bargaining, ikakubaliwa - akalipa faini na kuachiwa.

Ramla alikamatwa juma lililopita, siku ya Alhamisi akawa anashikiliwa Cetral Police Mwanza.

Anamiliki Bureau De Change pale Mwanza ila anafanya biashara zake hadi mkoa wa Geita.

Hadi anakamatwa, alikuwa na pesa nyingi za kigeni ambazo hakuwa amezibadilisha na alikuwa anazitumia kununua madini aina ya dhahabu katika ‘black market’ kisha yeye analipwa 2-4% katika kila manunuzi.

Katika kuhangaika kwake ili ajinasue akawasiliana na Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini. Wao kwa kuanzia wakamkatalia. Wakasema kwakuwa tayari lipo katika mikono ya kikosi maalumu (task force) kinachoshughulikia haya masuala basi wao wanashindwa kuweka mkono.

Wakajaribu kumwona RC Shigella awasaidie. Akakataa ila Jumatatu ya wiki hii akawapigia, akawaambia anaweza kuwasaidia lakini ‘lazima wafanye jambo’ (PCCB fuatilieni, maafisa wenu wana taarifa).

Wakawa wanahaha waweze kumwona kijana mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa ambaye walielekezwa na Waziri mmoja kuwa wafanye hivyo, akiwaaminisha ndio pekee anayeweza kuwasaidia ndugu yao akaachiwa ila kwa kijana huyo wakagonga mwamba.

Sasa, leo vyanzo vyangu vinaonyesha Ramla kapewa shitaka la kununua dhahabu bila kufuata utaratibu. Kashapelekwa Geita na ana simu anawasiliana na watu wake.

Kuna kila dalili hela imetolewa katika mchakato huu.

Mumewe amegoma kutoa hela zake akisema zitumike za mtuhumiwa mwenyewe na katoa msimamo kuwa hata akifungwa yeye hajali. Watoto ndio wanahaha kumtoa mama yao.

Swali: Kina nani wako nyuma ya mama huyu?
Weka picha
 
Haya mambo hayajaanza kwa huyu.

Yapo sana na msishangae kama yatamwagwa hadharani majina mtabaki mnacheka tu.

Biashara hii ndio inasababisha nyie kuwa katika nchi masikini, na kupasua ni ndoto kwa sababu hakuna wa kuzuia.

Mtandao sio mpana tu bali una mizizi mikubwa sana.

Sio sisi tu bali nchi masikini zote zenye rasilimali hizi zitaendelea kunyonywa sana na matajiri.

Nchi nyingine zinaporomosha viwanda na majumba ya skyscrapers na kujisifu kumbe ni ujinga wa baadhi yetu wakifurahia uuzaji na upitishaji haramu wa madini kila kukicha.

Nendeni mkasajili mahindi wakati almasi zinapita tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Haya ni matokeo ya ule uchunguzi wa Aljazeera kuhusu kutakatisha pesa haramu kupitia biashara ya haramu na ni Syndicate kubwa yenye mtandao mkubwa wenye pesa ndefu na ikiwahusisha vigogo wa Kisiasa
Hii kitu ilikuwepo kitambo tu.

Miaka ya nyuma enzi za Jk hizo bureau walikua wananunua dhahabu kwa kificho.

Huku mbele ni duka la kubadili fedha ila kwa nyuma wanachoma dhahabu.

Pia zilikua zinatumika kutuma pesa haramu nje ya nchi.

Walikua wanaita hawala.

Ndio kisa cha serikali kuzifungia kipindi cha Magufuli.

Bureau ziligeuka magenge ya kihalifu.
 
Mbna Kama mleta mada inaonekana Unajua kilak2 sema tu unaleta usnitch maybe haujakuwepo kwenye mgao, sasa ulitaka watoto wasiangalie namna yakumtoa mama yao hivi hata Kama niwew mzazi wako yuko ndani hautafanya jitihada zakumtoa au Ni chuki tu
Hivi unajua hili sakata lilivyoku bwa na chanzo cha umasikini wa nchi zetu?

Ungeupitia uchunguzi waliofanya Al Jazeera juu ya utakatishaji fedha unaofanyika upande wa Africa na viongozi wa nchi zetu wakihusika usingeongea hivi. Kama unaipenda nchi yako na kilasiku unajiuliza kwanini sisi ni masikini ungetamani hao watoto wawe upande wa baba yao.

Fuatilieni mambo yanavyoenda na sio kuwa na cheap comments tu katika kila jambo.
 
Hii kitu ilikuwepo kitambo tu.

Miaka ya nyuma enzi za Jk hizo bureau walikua wananunua dhahabu kwa kificho.

Huku mbele ni duka la kubadili fedha ila kwa nyuma wanachoma dhahabu.

Pia zilikua zinatumika kutuma pesa haramu nje ya nchi.

Walikua wanaita hawala.

Ndio kisa cha serikali kuzifungia kipindi cha Magufuli.

Bureau ziligeuka magenge ya kihalifu.
Nakubaliana nawe mkuu, ndiomana ilifikia kipindi rate MG alikuwa akimpa vijembe JK lakini kutokana na uwelewa mdogo wa watu walichukulia ni kama chuki za kisiasa tu kumbe kuna makubwa katika kulea magenge yanayotorosha rasilimali za nchi nap wakuwa kwenye migao.
 
Huyu ni Mmiliki wa Sharjah Trading (nitaeleza kwa undani kuhusu hii kampuni).

Miaka michache iliyopita wakati wa utawala wa Magufuli alikamatwa, akafunguliwa kesi ya utakatishaji fedha akafanya plea bargaining, ikakubaliwa - akalipa faini na kuachiwa.

Ramla alikamatwa juma lililopita, siku ya Alhamisi akawa anashikiliwa Cetral Police Mwanza.

Anamiliki Bureau De Change pale Mwanza ila anafanya biashara zake hadi mkoa wa Geita.

Hadi anakamatwa, alikuwa na pesa nyingi za kigeni ambazo hakuwa amezibadilisha na alikuwa anazitumia kununua madini aina ya dhahabu katika ‘black market’ kisha yeye analipwa 2-4% katika kila manunuzi.

Katika kuhangaika kwake ili ajinasue akawasiliana na Waziri na Katibu Mkuu wa Wizara ya Madini. Wao kwa kuanzia wakamkatalia. Wakasema kwakuwa tayari lipo katika mikono ya kikosi maalumu (task force) kinachoshughulikia haya masuala basi wao wanashindwa kuweka mkono.

Wakajaribu kumwona RC Shigella awasaidie. Akakataa ila Jumatatu ya wiki hii akawapigia, akawaambia anaweza kuwasaidia lakini ‘lazima wafanye jambo’ (PCCB fuatilieni, maafisa wenu wana taarifa).

Wakawa wanahaha waweze kumwona kijana mmoja mtoto wa Kigogo mkubwa ambaye walielekezwa na Waziri mmoja kuwa wafanye hivyo, akiwaaminisha ndio pekee anayeweza kuwasaidia ndugu yao akaachiwa ila kwa kijana huyo wakagonga mwamba.

Sasa, leo vyanzo vyangu vinaonyesha Ramla kapewa shitaka la kununua dhahabu bila kufuata utaratibu. Kashapelekwa Geita na ana simu anawasiliana na watu wake.

Kuna kila dalili hela imetolewa katika mchakato huu.

Mumewe amegoma kutoa hela zake akisema zitumike za mtuhumiwa mwenyewe na katoa msimamo kuwa hata akifungwa yeye hajali. Watoto ndio wanahaha kumtoa mama yao.

Swali: Kina nani wako nyuma ya mama huyu?
Tuendelee kula nyama, mtori upo chini
 
Matunda yameshaanza kuonekana Ramla Said keshakamatwa kwa utakatishaji fedha kupitia ununuzi wa dhahabu through black market. Mumewe amejitoa katika sakata hili na wengi wa viongozi waliopigiwa simu za kisiri wamegoma kutoa msaada katika kumnasua.

Ila mpaka sasa amebadirishiwa mashtaka inavyoonesha tayari kuna mrungula umetolewa kulainisha case.

Wapo wazalendo wa kweli ila ni wachache
 
Back
Top Bottom