LightYagami
JF-Expert Member
- Dec 6, 2016
- 2,825
- 1,493
This band inajaribu though they are just kids. Kuna some awesome guitar solo ata around minute 4:11mkuu kusema ukweli tukiacha mahaba ya nchi, orig kaifungia liva magoli machache yenye thamani kubwa! ucl dhidi ya barca amefunga goli mbili peke yake akiivusha club fainali. kwenye epl game dhidi ya newcastle amefunga goli la ushindi dk za lala salama!
Utakua hauwajui Wakenya hawanihitaji mimi kuandika hivyo kuwa wakabilasasa kama siyo mkenya ya jirani yanakuhusu nini mkuu? hiyo si chuki ya kikabila unajaribu kuipenyeza?
It's sad XFm ilifungwa the only place you'd hear these local bands play and realize that Kenya is breeding rock stars.For example Rish would be mistaken for a Taylor Swift, she gifted vocally!Kanyeki is amazing, but Irony Destroyed ziii, those guys kinda sucks. Lakini Kenyan rock inajaribu,
Kwani Tanzania hamna Waluo,yawaHuyo ni mtz mwenzako. Ndio yale yale ya wivu na chuki dhidi ya wachagga. Mti wenye matunda ndio huwa unatupiwa mawe.
Kati ya hao hamna mwenye Umaarufu kama wa Obama na Lupita hata mmojaHuu ukabila hapa mkuu [emoji23][emoji23] Wanyama ametokea jamii ya Waluhya.
Si kweli wao pekee ndio wameipeperusha bendera hii yetu.
Unamfahamu Henry Wanyoike? (mwanariadha kipofu) aliyeishindia Kenya tuzo si haba.
Catherine Ndereba? Paul Tergat?
Peter Tabichi? (Mwalimu bora zaidi duniani)
Hawa wote nimekutajia sio waluo
Yeah. Na Capiroo fm dont promote local bands. Hope a new rock station pops upIt's sad XFm ilifungwa the only place you'd hear these local bands play and realize that Kenya is breeding rock stars.For example Rish would be mistaken for a Taylor Swift, she gifted vocally!
I once saw them doing an interview on Y254, they're talented! Wako na vibe ya NirvanaThis band inajaribu though they are just kids. Kuna some awesome guitar solo ata around minute 4:11
Sasa unauliza swali au ndio unajibu? Alafu comment yako inahusiana vipi na nilichoandika, au ni maumivu ya tumbo ndio yanakutesa?Kwani Tanzania hamna Waluo,yawa
Yeah their style ni so Nirvana na pia Greta Van FleetI once saw them doing an interview on Y254, they're talented! Wako na vibe ya Nirvana
Mkuu kunywa maji mengi,unaonekana una StressSasa unauliza swali au ndio unajibu? Alafu comment yako inahusiana vipi na nilichoandika, au ni tumbo lako ndio linakuuma?
wewe ndio huwajui! Blame your ignorance. Lakini ndio maana ya kuwa JF, utasoma na kujifunza mawili au matatu.Kati ya hao hamna mwenye Umaarufu kama wa Obama na Lupita hata mmoja
Ni hivi hilo halina ubishi hakuna kati yao anawazidi umaarufu Obama na Lupita hata kama haujasoma,hata upitishe kurabya maoni Dunia nzima hao akina Ndereba hawawezi kuwa maarufu kuliko huyo Omela na Bint Anyang;Hata ukiwataja Wakenya 10 maarufu EA hao watu wako hawawezi kuwemowewe ndio huwajui! Blame your ignorance. Lakini ndio maana ya kuwa JF, utasoma na kujifunza mawili au matatu.
Sasa kwanzia leo tafuta vitabu vyao usiseme siku nyingine huwajui Wanyoike, Ndereba, Kariuki na Wanjiru
Acha nikuache usije ukaniambukiza ujinga.Mkuu kunywa maji mengi,unaonekana una Stress
usimsahau eliud kipchogeNi hivi hilo halina ubishi hakuna kati yao anawazidi umaarufu Obama na Lupita hata kama haujasoma,hata upitishe kurabya maoni Dunia nzima hao akina Ndereba hawawezi kuwa maarufu kuliko huyo Omela na Bint Anyang;Hata ukiwataja Wakenya 10 maarufu EA hao watu wako hawawezi kuwemo
Tangu siku gani wabelgiji wakawa wausi[emoji849][emoji849][emoji849].Origi alishakana ukenya.. ni mbelgiji
Edy Gathegi Hollywood Star ππ na Kama unakumbuka Safari Rally, Kuna mwingine can you guess His name... you've guessed right, Patrick Njiru the most successful indigenous Kenyan Rally Driver of all Time. ππHao ni wa kuokoteza, Samuel Wanjiru hatujui babake ni kabila gani. Huenda ni Kip...
bila kumsahau Nobel peace prize laureate Wangari MaathaiEdy Gathegi Hollywood Star ππ na Kama unakumbuka Safari Rally, Kuna mwingine can you guess His name... you've guessed right, Patrick Njiru the most successful indigenous Kenyan Rally Driver of all Time. ππ
Anazungumza Kiswahili kizuri zaidi ya Wakenya wengiOrigi is not Kenyan