HOPECOMFORT
JF-Expert Member
- Feb 25, 2012
- 3,921
- 6,646
Ni muda sasa umepita toka 2pate taarifa kutoka vyanzo tofauiti vya habari isipokua nyie kua mwenzenu ni mgonjwa(JOSEPH SHAMBA). Kupitia picha zilizowekwa hapa kweli mwenze2 uyo alioneonekana kua na hali mbaya sana.
Swali langu kwenu:Ni kweli kwamba amyaoni maswali yanayo ulizwa hapa kila kukicha kumuusu uyu mwenzetu angalau basi mtupatie taarifa za ukweli? Kama jana tena kuna alie ibuka na taarifa za kushtua eti kaaga dunia!!
Vengu we love u so so much and we ar always praying for ur recovering. Sitaki na sipendezwi na kusema ugua pole bt i will say GET WELL SOON.
Swali langu kwenu:Ni kweli kwamba amyaoni maswali yanayo ulizwa hapa kila kukicha kumuusu uyu mwenzetu angalau basi mtupatie taarifa za ukweli? Kama jana tena kuna alie ibuka na taarifa za kushtua eti kaaga dunia!!
Vengu we love u so so much and we ar always praying for ur recovering. Sitaki na sipendezwi na kusema ugua pole bt i will say GET WELL SOON.