mwingira17
Member
- May 22, 2014
- 16
- 3
By any chance,do u know anything about longtude and longtude?? Or about earth spinning on its own axis??
Tuanzie na hapo kwanza mkuu.
Latitude an longitude
nina ufahamu wa hivyo vituBy any chance,do u know anything about latitude and longtude?? Or about earth spinning on its own axis??Tuanzie na hapo kwanza mkuu.
haya karibu tena!ntarudi baadaye hapa...
Naomba kujua watu walioanzisha muda (masaa) duniani, na ilikuwaje wakaset masaa. Mfano: Tanzania ikiwa saa 1 basi South Africa iwe saa 2 na kwanini isiwe nchi zote zina muda mmoja sawa? Wenye uelewa hapa nisaidieni.
nimekupata mkuuAsili ya calendar na masaa inaanzia mbali sana, lakini calendar tunayotumia sasa inaitwa Gregorian...ilianzisha na Papa Gregory miaka mingi iliyopita baada ya Kristo...(AD)