Jamani tuwe wa kweli, tunaposema Comedy!, hawa sio maprofesa, mainjinia, wala madaktari! sio waandishi wa habari hawa!. Tumeona waandishi wakinunuliwa kama mitumba, maprofesa wakila rushwa , hivi hawa wana-UFISADI- PROOF gani? watashindwa nini kukubali kufuata mafisadi?? akama tuliona ndani ya EATV walikuwa moto, nakwambia Tz kuna vipaji vingi tu, ebu tuwape changamoto EATV watafute vijana wanaolipa zaidi, warudishe enzi zile, kukaa na kushindana na wenye hela tena za EPA tunapoteza muda! , wakati wakiondoka leo TBC, hakuna wa kuwapa chakula wao na wake zao tunapoteza muda! dawa ya moto ni moto! I believe wako wazuri zaidi ya hawa, EATV iwatafute, tukate mawasiliano nao, hakuna kuwaalika harusini, kwenye shughuli wala hatuendi kwenye shoo yao!