Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kikwete alikuwa anashinda uko alikuwa mgonjwa? Je si amemaliza kuongoza?
Ahahahaha mkuu u ar kidding me mtu anapiga hotuba masaa mawili kasimama unasema mgonjwa? Lowasa dk 2 na nusu tu Hoi... Acheni unafiki bwana penye ukweli pasemwe tu.