Marco Polo
JF-Expert Member
- Jan 16, 2014
- 11,786
- 18,562
Kikwete alikuwa anashinda uko alikuwa mgonjwa? Je si amemaliza kuongoza?
Afya ni majaliwa ya Mungu,leo kundi la OK linasimama majukwaani kwenye kampeni za ccm hata kutoa post mitandaoni za kudhihaki afya ya Lowassa wamesahau yalimpata mwenzao Vengu? mwaka wa nne leo yuko kitandani.ikumbukwe huyu jamaa alikua ni bingwa wa kumuigiza Mrema na maradhi yake kwa bahati mbaya Mungu kampiga kofi leo hii yeye ndio yuko kitandani na Mrema huyoooo yuko mzima kabisa.
Tukumbuke tunayo yafanya Mungu anatuona.kuna Leo na kesho.
Ni wavivu wa kufikiri hao ze komedi wao ni madakrari kujadili afya ya mtu???
Sijui wasanii wengine wanawazaga nini???
Acheni unafiki nyinyi ukawa... Kazi ya urais sio lelemama inahitaji mtu ambaye ni energetic physically and mentally.... Sasa mnaelimishwa kwamba mtu wenu mgonjwa hamuelew.. Hongera original comedy nyinyi msipowapenda sisi tunawapenda
Watu wengi especially wanasiasa wamekuwa wakimdhihaki Edward Lowasa juu ya afya yake mf yule kiongozi wa kampeni wa ACT, aliongea jukwaani hadi zitto akaomba msamaha... Mm naona ni ushamba na Kuishiwa Sera! Kumkashifu mtu afya yake wakati hujui second moja mbele utakuwa na hali gn... Ni utaahira wa kueleweka.
The
Ahahahaha mkuu u ar kidding me mtu anapiga hotuba masaa mawili kasimama unasema mgonjwa? Lowasa dk 2 na nusu tu Hoi... Acheni unafiki bwana penye ukweli pasemwe tu.