DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,652
- 2,628
- Thread starter
-
- #21
Nao huwa wanaigiza siasa mpenzi,na pia wanatumika na magamba majukwaani
Upo vizuri waberoya,ila kilichowatoa eatv u know is just vitna za mafahali 2,mean mengi na manji.naskia manji kawatosa
Nielekeze na mie ulipojifunzia kingereza na mie nikapige english kozi maana nawe siku hiz kama Nyani Ngabu.
Mkuu DALLAI LAMA, Wamekula vya Magamba nao wameota Magmba, mimi baada ya kuona wanawatumikia mashetani (sahani hii ni tasfili yangu baada ya kuona serikali ya ccm inawagiza pilisi kututwanga risasi bila huruma), hawa The Orijino Komedy naona ni wacheleweshaji wa uhuru wetu.
Tv ya mtaani iitwayo CLOUDS TV ambao walionyesha mechi za Simba na Yanga za kimataifa kwa kutumia KAMERA ZA SIMU bila hata replay or side views...
U re very right mkuu!mbaya zaidi wakaanza kutukana watu,na kuwacheka wamefua sijui mara nini!they were so stupid,hawakujua kua kudeal na watu wa magamba na mafisadi kama Manji yahitaji akili ya ziada!
Hawa jamaa wakati wapo Chanel 5 walishine sana.
So everything has become political in Tanzania?