Orodha kamili ya makatibu wakuu wa CCM tokea ilipoanzishwa mwaka 1977

Katibu Mkuu wa Chama Kolimba na Waziri Mkuu Malecela ni 'collabo' bora kuwahi kutokea hapa nchini

Hawa Jamaa walimkosesha sana usingizi kambarage hadi akaenda kuchapisha kitabu zimbabwe kuwachamba

Malecela na Horace walimheshimu sana Mwalimu ila hawakuwa wakimwogopa na hiyo ndio sababu Nyerere alijitahidi 'kumpandikiza Jakaya baada ya Salim kukataa ili ku dilute nguvu ya Malecela dhidi ya Mkapa!


Mungu amrehemu Mzoefu Ditopile

hawa magwiji wawili na mmoja wao 'ikabidi' afariki ghafla akihojiwa na CC ya chama Dodoma kwa kueleza hisia zake hadharan
 
Mtu katoka kwny Ukatibu Mkuu Wizaran anaweza kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Siasa tena chama chenyewe CCM ambacho unaweza kupata Phd kwa kukijadili fitna zake tu!
Wilson mukama alitia fora,
 
Nchi yetu haina Waandishi mahiri wa mambo ya kihistoria

Mzee Msekwa ni hazina kubwa sana ya Nchi hii hasa kwny upande wa memory, Jk anamwitaga Cyclopedia ya Nchi lakin waandishi wa habari na wa vitabu hawajaenda kumhoji seriously kujua mengi anayoyajua

Mzee Msekwa
1) Katibu wa Bunge la Tanganyika lilioidhinisha Serikali ya Muungano
2) Ndie aliesaini hati ya Muungano upande wa Tanganyika na Mwl Nyerere
3) Ndie alikuwa Mchambuzi na muamuzi wa kuamua Nchi yetu baada ya muungano iitwe jina gani baada ya kupokea mapendekezo kadhaa ya Wabunifu
4) Katibu wa Kwanza wa CCM
5) Spika wa kwanza wa Bunge la Vyama vingi
 

Mkuu kwani taharifa yako inasaidia nini? Ungeseama wapiganji wa Uhuru tangu hizo ungeeleweka sana,
 
inajulikana kwamba wengi katika CCM hawafurahishwi na mambo yanavyokwenda. lakini hii inahitaji tahadhari kubwa.
Kila enzi na kitabu Chake , CCM ukiifuatilia sana utaona kila baada ya miaka 10 kuna kuwa na mabadiliko makubwa.

Na mabadiliko ya kuleta wabunge wapya 216 mwaka huu tayari CCM inayokuja sisi upinzani tujitayarishe kupambana na kundi jipya na mabadiliko ya uendeshaji mfumo CCM kuazia 2025.
 
Katika list yako yote hiyo KATIBU MKUU wa CCM wa maana ni mmoja tu !! nafikiri watanzania wanamjua wala hakuna haya ya kumtaja.
 
Na ndiyo sababu wanabak madarakani mda wote , ni wepesi Sana kufanya revolution kuendana na mazingira, wanajiupdate faster , opponent inawawia vigumu somtyme kuattack
 
Makawago mbona ujamuweka Katika Makatibu wakuu
Mwakawago alikuwa Katibu Mtendaji Wa chama. Wakati huo Katibu mkuu ni cheo kilikuwa bado kuwepo. Ila sikumbuki kama ni miaka ya mwisho ya Tanu au miaka ya mwanzo ya Ccm. Baadae ndio tukawa na cheo cha Katibu mkuu
 
Msekwa hakuwa katibu mkuu bali alikuwa katibu mkuu mtendaji.Katibu Mkuu wa kwanza CCM alikuwa Rashid Kawawa.
Katibu mkuu wa kwanza wa TANU baada ya uhuru alikuwa Oscar Kambona,baade cheo hicho kilifutwa.
 
Nimezungumzia Katibu wa Bunge la Tanganyika wakati wa Muungano sio katibu wa TANU!
Msekwa hakuwa katibu mkuu bali alikuwa katibu mkuu mtendaji.Katibu Mkuu alikuwa Rashid Kawawa.
Katibu mkuu wa kwanza wa TANU baada ya uhuru alikuwa Oscar Kambona,baade cheo hicho kilifutwa.
 
Mambo yote kwa remote control🤣
 
Na ndiyo sababu wanabak madarakani mda wote , ni wepesi Sana kufanya revolution kuendana na mazingira, wanajiupdate faster , opponent inawawia vigumu somtyme kuattack
Toka upinzani uanze rasmi, upinzani wameongeza nguvu zao hasa bungeni, kila uchaguzi. Ni uchaguzi huu tuu umekuwa kinyume na tofauti. Kwa wale wanaoona kwa kutumia macho yao, kusikia kwa masikio, na kuchambua kwa akili zao, wanajua kuwa mwaka huu ni faulo ya kufa mtu, wala siyo eti mbinu na mikakati.

Ila kama unatumia hisia tu, utaamini kila asemalo polepole, Magu, IGP, na musiba
 
Mukama alikuwa takataka sana. Sijui walimuokota wapi yule jamaa. Hivi bado yupo duniani?
 
Kati ya Makatibu wakuu ambao CCM walikula hasara ni Wilson Mukama, huyu hata Kikwete Mwenyewe aliona kabisa amebugi kumteua.

Eti Chadema wameingiza Magaidi.
Mukama,alikua best ya kingunge ndo maana aliupata ukatibu mkuu,haikua choice ya daktari halfani mrisho ,j
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…