Moisemusajiografii
JF-Expert Member
- Nov 3, 2013
- 43,960
- 77,533
Mnakatisha tamaa jamani.UNaonaje kama ukiwasimulia Kijijjini kwenu Hizi Hadithi Bwana Mdogo..
Bwana Lucas Hebel Mwashambwa
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mnakatisha tamaa jamani.UNaonaje kama ukiwasimulia Kijijjini kwenu Hizi Hadithi Bwana Mdogo..
Bwana Lucas Hebel Mwashambwa
Shida ni kwamba Sioni mchango wa hayo majina kwenye maendeleo..Mnakatisha tamaa jamani.
Ni kwa kuwa siku yake na siku zake za kuishi hapa Duniani zilikuwa zimekwisha .Atufanyie na wema kwa kutusimulia ndugu Horace Kolimba ilikuwaje akaaga dunia kwenye mahojiano na CCM wenzake?
Hayo ni mawazo yako finyuHuu uzi wako ni kama unawasema JK, JPM na mama bila kujielewa kana kwamba waliomfuata BWM hawakuwa makini katika chaguzi zao na ndio maana wanabadilisha sana kila kukicha. Si ndio KADA?
Rudi usome nilichoandika ndugu yangu .hata hivyo nilipokosea unaweza kunisahihisha maana mimi najifunza na siyo kwamba nafahamu kila kitu.Hata mimi nimeshangaa zaidi na kujiuliza sana.Je,ni:-
1.David Mwagomola?
2.David Mwakawago? AU
3.Daudi Mwakawago?
Hapana mkuu Sidhani kama Uko sahihi..Huu uzi wako ni kama unawasema JK, JPM na mama bila kujielewa kana kwamba waliomfuata BWM hawakuwa makini katika chaguzi zao na ndio maana wanabadilisha sana kila kukicha. Si ndio KADA?
Usihofu.Nakupata.Halafu,mbona simu uliyoweka iko bize tu?Unatoa muamala?Rudi usome nilichoandika ndugu yangu .hata hivyo nilipokosea unaweza kunisahihisha maana mimi najifunza na siyo kwamba nafahamu kila kitu.
Mheshimiwa Emmanueli Nchimbi amefika hapo na kushika wadhifa huo kwa kuwa wapo waliomtangulia na kufanya kazi iliyokifanya chama kuwa imara na chenye nguvu wakati wote, huku kikiongoza serikali zote mbili ya jamuhuri na upande wa zanzibar.lakini pia amepokea CCM iliyo na umoja na iliyoimarika katika jumuiya zake zote.Shida ni kwamba Sioni mchango wa hayo majina kwenye maendeleo..
Na Kwenye hoja za Nchi za Sasa hivi..
Kiukweli nimefurahi Nchimbi kuwa Katibu ila sioni haja ya majina Ya watangulizi wake
CCM Ni chama safi chenye watu safi.Acha kuleta story za majizi dogo. Hizi habari pelekea washamba wa huko vijijini.
Kaka umeme wamekata hapa Kyela kunashida gani?Mheshimiwa Emmanueli Nchimbi amefika hapo na kushika wadhifa huo kwa kuwa wapo waliomtangulia na kufanya kazi iliyokifanya chama kuwa imara na chenye nguvu wakati wote, huku kikiongoza serikali zote mbili ya jamuhuri na upande wa zanzibar.lakini pia amepokea CCM iliyo na umoja na iliyoimarika katika jumuiya zake zote.
Kodi zote zinazokusanywa na serikali ya CCM zinatumika kwa uaminifu mkubwa sana katika kuwapelekea maendeleo watanzania.ndio maana unaona kwa sasa huduma za kijamii zimesogezwa karibu kabisa ya mwananchi na kuondoa ile adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta na kufuata huduma.na kweli kipo imara kinavyozikamua kodi za watanzania bila huruma aise wapo imara!
Ngoja nifuatilie niangalie kuna tatizo gani huko.lakini inawezekana kukawa na marekebisho madogo madogo au ukarabati wa miundombinu ya umeme hasa nguzo ambapo kipindi hiki ambapo mvua zinaendelea kunyesha unakuta kuna mahali nguzo imeanguka au kulalia upande mmoja.hivyo ili kufanya matengenezo na marekebisho ni lazima wakate umeme maeneo fulani mpaka watakapomaliza kazi.Kaka umeme wamekata hapa Kyela kunashida gani?
Ni kweli, lakini ni kwa nyie chawa.CCM Ni chama safi chenye watu safi.
Yote hayo nayajua Mkuu nikiwa kama Mwanachama wa CCM kwa miaka zaidi ya 20, Nisichokijua kutoka kwao hyo Historia ina Lengo gani au inamaana gani au Ina funzo gani?Mheshimiwa Emmanueli Nchimbi amefika hapo na kushika wadhifa huo kwa kuwa wapo waliomtangulia na kufanya kazi iliyokifanya chama kuwa imara na chenye nguvu wakati wote, huku kikiongoza serikali zote mbili ya jamuhuri na upande wa zanzibar.lakini pia amepokea CCM iliyo na umoja na iliyoimarika katika jumuiya zake zote.
Mi.Ni CCM ila sijawahi kuwa ChawaNi kweli, lakini ni kwa nyie chawa.
ongea na CAG hayo mambo usinichosheKodi zote zinazokusanywa na serikali ya CCM zinatumika kwa uaminifu mkubwa sana katika kuwapelekea maendeleo watanzania.ndio maana unaona kwa sasa huduma za kijamii zimesogezwa karibu kabisa ya mwananchi na kuondoa ile adha ya kusafiri umbali mrefu kutafuta na kufuata huduma.
Watanzania wanatambua ya kuwa ni CCM Pekee iliyo na uwezo wa kuiongoza TanzaniaNi kweli, lakini ni kwa nyie chawa.