Orodha mpya ya watumishi walio hakikiwa

ihssan

Member
Joined
Oct 10, 2016
Posts
11
Reaction score
1
Naomba kujua kuna watumishi waliondolewa kwenye utumishi ili kupisha zoezi la uhakiki baada ya hilo zoezi kukamilika walilejeshwa sasa imetoka orodha ya watumishi waliohakikiwa ya kila mkoa je na wale walioondolewa kwanza ni miongoni au wao hawausiki na hiyo orodha??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…