Ndugu hawa jamaa wanavyoendesha mambo yao wanajua wenyewe maana me hata nashindwa waelewa kila kitu vikwazo viiingiiiii ili hali tu watu wasipewe mikopo alafu wao ndio furaha yao inapatikana wajue kuwa aliwapa wao nafasi ya kuwapo hapo walipo ndio haliowanyima wale waliokosa nafasi ya kuwapo hapo pia sasa saa, siku, muda na mwisho huko njiani kufikia