Orodha Rasmi ya watu wanaopitia Maisha magumu nchini Tanzania

Orodha Rasmi ya watu wanaopitia Maisha magumu nchini Tanzania

Labda huo msamiati wa mashenzini umenishinda, ila walimu wengi wa vijijini wako njema sana, wana maendeleo makubwa, wanajitutumua watoto wao wanasoma shule nzuri huko mjini, wanatumia fursa za mashamba kuzalisha mazao na kuuza, ingawa walevi na waliopoteza mwelekeo nao wapo wengi pia.
Shukran
 
Haya ya ufupi na urefu , mwingine anaropoka Degree na Diploma huku mtaani hatuyaoni, Watu wanajichanganya maisha yanaenda kama kawaida ,

Kule makanisani, kwenye jumuia na vikoba watu wanaosikilizwa ni wale wenye ushawishi , exposure na uzoefu wa mambo bila kujali elimu zao na maumbo yao,

Hata wanaoongoza kupendwa na wanawake wengi hasa ni wale wenye kipato kikubwa bila kujali elimu zao na maumbile yao.

Huku mtaani Halisia wapo warefu na wachakarikaji pia warefu wapumbavu , wapo wafupi wachakarikaji na wafupi wapumbavu, je hamjui kuwa mwananamke mwenye akili hawezi mkubali mtu mrefu mpumbavu akamwacha mfupi mchakarikaji!

Malizieni kwanza degree zenu mrudi mtaani muone jinsi ulimwengu ulivyo.

Ulimwengu upi Boss?😀😀
 
Back
Top Bottom