Orodha Rasmi ya watu wanaopitia Maisha magumu nchini Tanzania

Waalimu wengi ni dhalili
Waalimu wengi hawajiamini
Waalimu wengi wanahasira Kali na chuki za kijinga

Mengi ni ya kweli uliyoyasema,
 
Huna uredu wowote wewe, sifa mojawapo ya wafupi umeshaonyesha hapa ubishi
 
Nakazia hili yaan uliyosema n kweli tupu. Mwanamke mfup akinenepa anaonekana kama amevimba hv

Sent from my room
 
Hivi wewe watu wa kaskazini walikufanyia nini? Kwanini unapenda sana kuwaongelea vibaya hata sehemu wasiokuwepo? List ya mtoa mada haijagusa kabila la mtu ila wewe matako sababu ya chuki zako kwa wachagga umeona uwaweke? Stupid idiot 🚮
 
Hivi wewe watu wa kaskazini walikufanyia nini? Kwanini unapenda sana kuwaongelea vibaya hata sehemu wasiokuwepo? List ya mtoa mada haijagusa kabila la mtu ila wewe matako sababu ya chuki zako kwa wachagga umeona uwaweke? Stupid idiot 🚮

Mbona makasiriko tena mzee baba 😁 kwani uongo hawapo wenye flati!!
 
Orodha yako batili namba 1 ulitakiwa uweke walemavu hasa viziwi,wasioona,walemavu wa viungo etc
 
Tatizo linaanzia kwa wazazi nafikiri wazazi wengine wakali kwa mabinti zao hawataki kuona wakiwa na boyfriend mwisho wa siku akibaki nyumbani bila kuolewa wanawasema
 
Ukute mtu mfupi halafu una diploma ya habari huku single mother na umri wako miaka 31 daa yaan ukisoma habari hii itakukatisha tamaaa japokuwa ndio uhalisia wenyewe
 
Umesahau manesi hapo mana sio kwa hasira hizi walizokua nazo
 
Kwa andiko hili umeongeza sononeko kwa waliosoma wakajikuta ni miongoni kwa wenye changamoto ulizozitaja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…