BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Kutokana na ufinyu wa eneo la bandari ya Dar es salaam ambayo kwa Sasa lipo chini ya uendeshaji wa DP World imefanya bandari kushirikiana na wadau wa sekta binafsi katika kutoa huduma za kibandari.
Unapoagiza gari kutoka nchi za nje unaweza kulipokea bandarini TPA ama bandari yoyote kavu kati ya hizi.
1. TALL hii ipo gerezani kariakoo mtaa wa shauri moyo inasemekana ni ya kigogo mstaafu ambaye alishawahi kushika nyadhifa kubwa serikalini na kwenye chama.
2. FARION ipo Serengeti ikiwa imepakana na shule ya kibasila
3. FAB Inapatikana Mbagala kizuiani changamoto ya hii ICD imepakana na viwanda vya cement na pumba kitu kinachopelekea magari kuchafuka kutokana na vumbi ila wamiliki wa hiyo ICD wanaingia gharama ya kuyaosha magari.
4. DARSTAR hii ipo Buza kwa Mama kibonge.
5. DEUMEUM ipo Tabata Matumbi.
6. BLOOMER Tabata Mwananchi
7. ROUTE MASTER Inapatikana Mwenge karibu na Coca-cola
8. SSA Banda la ngozi
9. As Fast Kigamboni baada ya kuvuka darajan unaingia njia panda ya tumbi
10. GALCO ya tajiri GSM Inapatikana kigamboni kituo SIDO
Hizo ndio ICD za magari najua wapo wenye ujuzi mkubwa zaidi yangu ningependa kufahamu ni vigezo gani vinatumika ili kuipa ICD meli.
Unapoagiza gari kutoka nchi za nje unaweza kulipokea bandarini TPA ama bandari yoyote kavu kati ya hizi.
1. TALL hii ipo gerezani kariakoo mtaa wa shauri moyo inasemekana ni ya kigogo mstaafu ambaye alishawahi kushika nyadhifa kubwa serikalini na kwenye chama.
2. FARION ipo Serengeti ikiwa imepakana na shule ya kibasila
3. FAB Inapatikana Mbagala kizuiani changamoto ya hii ICD imepakana na viwanda vya cement na pumba kitu kinachopelekea magari kuchafuka kutokana na vumbi ila wamiliki wa hiyo ICD wanaingia gharama ya kuyaosha magari.
4. DARSTAR hii ipo Buza kwa Mama kibonge.
5. DEUMEUM ipo Tabata Matumbi.
6. BLOOMER Tabata Mwananchi
7. ROUTE MASTER Inapatikana Mwenge karibu na Coca-cola
8. SSA Banda la ngozi
9. As Fast Kigamboni baada ya kuvuka darajan unaingia njia panda ya tumbi
10. GALCO ya tajiri GSM Inapatikana kigamboni kituo SIDO
Hizo ndio ICD za magari najua wapo wenye ujuzi mkubwa zaidi yangu ningependa kufahamu ni vigezo gani vinatumika ili kuipa ICD meli.