Orodha ya Barabara mbovu za Tanroads na ambazo hazina Lami na ziko kwenye uchumi mkubwa wa Nchi

Orodha ya Barabara mbovu za Tanroads na ambazo hazina Lami na ziko kwenye uchumi mkubwa wa Nchi

peno hasegawa

JF-Expert Member
Joined
Feb 24, 2016
Posts
14,255
Reaction score
23,949
1. Kitunda (Tabora) - Rungwa - Kambi Katoto - Lupa tingatinga - Makongorosi (Chunya)

2. Rungwa - Kintanula - Itigi (Singida).

3. Mererani - Orkesmet - Kiteto (Manyara).
4. Geita - kwenda Kahama

5. Tarime kwenda Serengeti kupitia Mugumu.

Cha kushangaza, serikali kwa miaka 60 ya uhuru, ina angalia TU bara bara hizo na kuona ni jambo la kawaida.
 
Ipo shortcut ya barabara kuunganisha east affrican road na mji wa mirerani hadi machimboni kupitia mbugun,,, magari mengi sana, barabara mbovu, japo kila mwaka wa najitahidi kufanya repair
 
Back
Top Bottom