Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

Kwa sasa hakuna kampuni ambayo inafanya 'outsourcing' ili kubana matumizi. Nafikiri ni muda muafaka kwako kuwa na chanzo kingine cha mapato zaidi ya taaluma yako.

Hii itakusadia kuwa na stable income kidogo kiuchumi.
Nakungoja pm kaka...walau useme neno moja nipate mwangaza
 
Wewe jamaa The List umeandika madini tupu humu kwenye huu "uzi". Kumbe wakati mwingine unajitoaga ufahamu tu na kuandika "upupu" kwenye "thread" za watu wengine wakati na wewe ni kichwa. Sasa nimeamini ule msemo wa Wazungu, "there is little good and bad in everyone".

Nasubiri muendelezo wa huu uzi kutoka kwako wewe "empty set minded"...... oops sorry, imeji-type yenyewe... ha ha ha ha, just kidding bro.
 
Samahani naomba nieleweshe leap of faith na operation hypothesis
 
Big up sana The List you have shared the land shaking message that show how smarter you're in entrepreneurship through real experience and not seminar
 
Asant kaka mawazo mazury sana ila me nataka kufungua duka la baby diapers (Pampers za watoto)maeneo ya mkoa wa dar unanishaurije kuhusu hii biashara?
 
Mkuu The List, hii LIST uliyotoa nimeilewa vema sana na kwa vitendo. Juzi kati nilikuwa napiga story na mama mmoja wa hapa mtaani tukawa tunashauriana aina ya biashara inayoweza kufanyika kipindi hiki cha kukaza vyuma, tukafikia conclusion kuwa bidhaa ambayo ni namba moja kuhitajiwa hapa nchini ni CHAKULA kwa kuwa mtu hata usipooga, kuvaa au kushiriki anasa yoyote ile ni lazima ule. Hivyo, tukakubaliana kwamba mtu yeyote anayejishughulisha na uzalishaji, usambazaji, usindikaji au uuzaji wa chakula hawezi kukosa soko ktk nchi hii. Hata vyuma vikazeje, KULA ni lazima.

Aidha, urembo na mavazi ya akina mama havikosi soko. Akina mama wengi wapo tayari kulala njaa kuliko kutojiremba (kujipamba, kuvaa mavazi nadhifu na mapya, kutengeneza nywele, kubadilisha kucha, kuosha na kung'arisha kucha, nk). Ndio maana vijana wengi wameamua kujiajiri kwenye biashara ya kuweka na kuremba kucha kwa kuwa soko lake ni kubwa sana na halina msimu. Customers are always there and ready to buy their goods and services.

Lakini pia pombe ni bidhaa ambayo hata ipande bei kiwa kiasi chchote kile, bado watu watakunywa tu...hiki kinywaji ni kama bange au unga. Sijawahi kusikia wanywaji wakilalamika au kujaribu kuandamana pamoja na bei ya pombe kupanda kila kukicha. Hii ni dhahiri kwamba POMBE is one of the most crucial and basic human needs.

Mkuu The List nasubiria list nyingine nidese.
 
Acha kujisisifia. mboba uzi una errors kibao. wameamua kukupotezea tu
 
Mkuu Vipi hukusu kununua bodaboda na kumpa kijana akawa ananiletea elfu 70 kwa week?, imekaaje hiyo?
 
Ulifanyaje mkuu
 
Pombe bana ukifiwa unakunywa ukifumaniwa unakunywa
Ukifukuzwa kazi unakunywa
Ukipata kazi unakunywa
Na ukifa wenzako bado wanakunywa.........I love this buzness
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Of course ni madini matupu!! Nahisi kama nimeupitia uzi kwa haraka, Nitaurudia tena kwa utulivu kabisa! Asante sana mkuu
 
Jifunze kwanza kuandika, in fact, acha wivu
Kama ni mtumiaji na mzoefu wa smart phones, ungetambua kuwa hiyo ni automatic phone typo. Kuna wivu gani hapo kama sio kujipendekeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…