Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

TUJITEGEMEE

Umezungumza mada nzuri sana, infact uko nyuma niliwahi kuigusia katika uzi wangu "Mbinu za TMK nazotumia kupiga hela kipindi hiki"

Ingawa sikuieleza kiundani kwasababu ya kufupisha uzi lakini hii ni moja ya tamaduni iliyozoeleweka kwa miaka mingi katika ujasiriamali, na hasa katika nchi za magharibi ambapo wajasiriamali wengi wameuza au kununua biashara fulani.

Na ata Afrika sasa imekuwa sana, na moja ya mifano mizuri ni mwalimu/role model ambae namuhusudu sana Vusi Thembekwayo..huyu msouth Africa aliuza kampuni yake Motiv8 kwa mpunga mrefu sana ambao mpaka leo umemfanya kuwa moja ya wajasiriamali wadogo wenye mafanikio Afrika.

Hili swala lina pande mbili kununua na kuuza, kwa upande wa kuuza kuna biashara zinazoanzishwa kwa mikakati kabisa ya kuja kuuzwa uko mbeleni yaani wenhew wanita exit strategy..apa kuna vingazitio ambavyo mjasiriamali lazima uvigaye tangu siku ya kwamza unapofungua kampuni

Swala la kununua, apa hakuna shuguli sana ikiwa records zote za kampuni umepewa ni jukumu lako kwa utaalum wako wa kusoma namba. Maana biashara ni namba, kujua biashara hii kwa hela utakayonunulia je return yake itakulipa..apa pia kuna vizangatio

Uko nyuma niliwahi kununua biashra ya swahiba yangu fulani alafu baada ya muda nikaiuza tena kwa mtu wangu mwingine wa karibu, ambayo mpaka leo huwa tukikutana na swahiba aliyeniuzia tunachekana na kutaniana yeye akisema aliniuzia kwa bei chee lakini mimi pia nalia niliuza hasara ingawa bado na shares kiduchu maana biashara ile ina thamani mara nne ya bei tulizouziana wakati ule.

Hii ina maana kama ningeuza shares zangu zote basi leo hii ningekuwa nalia mara mbili zaidi.

Ni mada pana ambayo inahitaji ufahamu wa kujua kuzisoma 'income statements' kwa kina na kufanya 'projections'..maana unaweza ukawa na biashara yenye mtaji wa mill10 lakini kwa projection za uko mbeleni biashara hii inaweza ikawa na thamani ya mill50 ..hivyo maamuzi ya kununua kampuni ya mil10 kwa mill50 kwa matarajio uko mbeleni itakulipa yanahitaji ufaham mkubwa wa 'namba'.

Nikuombee 'uniombee' na uko mbeleni basi bila hiyana nitaandika uzi kuhusu jambo hili kwa uzoefu na mawazo yanayotekelezeka kuhusu mambo ya kuzingatia kwa,

-mjasiriamali anaeuza biashara ili asiuze kwa hasara kwa kujua thamani ya biashara yake

-Na kwa mnunuaji ni vitu gani pia uzingatie unapoamua kununua biashara ya mtu ili usije ukalipa pesa kubwa ambayo haitarudi.
Asante sana Mkuu kwa maelezo ya utangulizi na ahadi yako pia. Tafadhali siku ukifungua uzi huo, ni tag.
 
Umelenga mle mle, adui wa biashara KWA SASA NI TRA
Mkuu.. Acha kabisa jamaa wanakuja kufukua makaburi 5 years back.
Nipo nao sasa hivi nikivuka salama Mungu mkubwa.
 
Chakula hoyeee...
Jamani kuna namna ya kuanza mdogo mdogo bila kupambana na TRA,

Kwa mfano unaweza ukatengeneza chips points kadhaa ukaka pembeni kwanza,
Ukitaka kuingia kwenye mgahawa na hotel hapo ndipo utapambana na restaurant,

Unaweza pia ukajiwekeza kwenye kuandalia watu vitu vya upishi,
Kama viungo,mbogamboga n.k hapa utapambana na TFDA kulingana na unapohitaji kufikisha biashara yako.

Ukitoa mazao mkoani kupeleka masokoni hapo TRA mnapishana tu...
Sasa hivi hakuna namna utawakwepa TRA..
Mpaka wakaanga kiepe wanakabiliwa
 
Ukimaliza darasa hili naomba tafadhali uanzishe na darasa la kununua biashara ya mtu. Yaani unakuta mtu anaduka, ama kiwanda, ama muoka mikate na kadhalika na unataka ununue ama yeye anataka auze biashara hiyo. Vitu gani vya kuangalia kipi kizingatiwe katika kununua biashara ya mtu? Ununuzi wa biashara si jambo geni, wamefanya hivyo facebook kwa intagram, microspft ndiyo usisema, huko Canada nasikia ndiyo dili kabisa.

Inasemekana ni rahisi sana kununua biashara na kuiendeleza kuliko kuianzisha na kuindeleza. Nilikuwa natafuta mtu mwenye ujuzi wa ujasiriliamali anipe shule inayoeleweke. Kwa maelezo yako hapo juu. Nadhani mtu mwenyewe nimempata.

Karibu mkuu.
Nimependa hii kitu mkuu..
 
TUJITEGEMEE

Umezungumza mada nzuri sana, infact uko nyuma niliwahi kuigusia katika uzi wangu "Mbinu za TMK nazotumia kupiga hela kipindi hiki"

Ingawa sikuieleza kiundani kwasababu ya kufupisha uzi lakini hii ni moja ya tamaduni iliyozoeleweka kwa miaka mingi katika ujasiriamali, na hasa katika nchi za magharibi ambapo wajasiriamali wengi wameuza au kununua biashara fulani.

Na ata Afrika sasa imekuwa sana, na moja ya mifano mizuri ni mwalimu/role model ambae namuhusudu sana Vusi Thembekwayo..huyu msouth Africa aliuza kampuni yake Motiv8 kwa mpunga mrefu sana ambao mpaka leo umemfanya kuwa moja ya wajasiriamali wadogo wenye mafanikio Afrika.

Hili swala lina pande mbili kununua na kuuza, kwa upande wa kuuza kuna biashara zinazoanzishwa kwa mikakati kabisa ya kuja kuuzwa uko mbeleni yaani wenhew wanita exit strategy..apa kuna vingazitio ambavyo mjasiriamali lazima uvigaye tangu siku ya kwamza unapofungua kampuni

Swala la kununua, apa hakuna shuguli sana ikiwa records zote za kampuni umepewa ni jukumu lako kwa utaalum wako wa kusoma namba. Maana biashara ni namba, kujua biashara hii kwa hela utakayonunulia je return yake itakulipa..apa pia kuna vizangatio

Uko nyuma niliwahi kununua biashra ya swahiba yangu fulani alafu baada ya muda nikaiuza tena kwa mtu wangu mwingine wa karibu, ambayo mpaka leo huwa tukikutana na swahiba aliyeniuzia tunachekana na kutaniana yeye akisema aliniuzia kwa bei chee lakini mimi pia nalia niliuza hasara ingawa bado na shares kiduchu maana biashara ile ina thamani mara nne ya bei tulizouziana wakati ule.

Hii ina maana kama ningeuza shares zangu zote basi leo hii ningekuwa nalia mara mbili zaidi.

Ni mada pana ambayo inahitaji ufahamu wa kujua kuzisoma 'income statements' kwa kina na kufanya 'projections'..maana unaweza ukawa na biashara yenye mtaji wa mill10 lakini kwa projection za uko mbeleni biashara hii inaweza ikawa na thamani ya mill50 ..hivyo maamuzi ya kununua kampuni ya mil10 kwa mill50 kwa matarajio uko mbeleni itakulipa yanahitaji ufaham mkubwa wa 'namba'.

Nikuombee 'uniombee' na uko mbeleni basi bila hiyana nitaandika uzi kuhusu jambo hili kwa uzoefu na mawazo yanayotekelezeka kuhusu mambo ya kuzingatia kwa,

-mjasiriamali anaeuza biashara ili asiuze kwa hasara kwa kujua thamani ya biashara yake

-Na kwa mnunuaji ni vitu gani pia uzingatie unapoamua kununua biashara ya mtu ili usije ukalipa pesa kubwa ambayo haitarudi.
[emoji122] [emoji122] [emoji122]
 
Kuandika ndio moja ya vipaji nilivyo navyo hasa linapokuja swala la kutype. Na kama ungejua idadi ya maneno nayoandika kwa mawasiliano yangu ya email kwa siku ata usingeropoka.

Kuna kanuni katika kitabu cha 'Art of war' cha mwandishi Sun Tzu inayosisitiza kuhusu umuhimu wa kumjua adui..na ndivo nilivofanya kwako yaani unawezaje kunikosoa nguchiro pori kama ww kuhusu 'lugha mama' ambae tangu mwaka 2014 una uzi mmoja tena mbaya zaidi wa 'utambulisho' tu..pathetic imbecile!!

-Na kipimo cha kujua uvundo wa mtu kichwani ni kumpa nafas ya kuongea au kuandika..

hivi vitu 'mgumba wa fikra' kama wewe huwezi kuvijua..maana zaidi ya 'kucheketuliwa' hakuna unachojua.

nilikuambia mpaka akili ije ikukae ntakuwa tayari 'nimekubonyeza' kizenji huku nikikucheketua kwa stail ya makhirimakhiri apo 'bakta'.

Fils de pute!!
fahari mama wa ujinga..insha ndeefu hakuna substance zaidi ya majigambo tu..asiejiamini hujigamba kwa kuwa ana mapungufu..endelea kuandika pumba zako humu ukiamini ni kipimo cha weledi
 
Kwanini watumie maelezo kukukadiria, hili ndo tatizo haswa. Pia inategemea nani unampa maelezo, wengine hawaelewi wanajua kukupangia tu cha kulipa.
Hapa kwa hao TRA hasa wale wanaofanya mahojiano ni changamoto sana, mm niliendaga kwaajili ya process ya kupata leseni, maswali ambayo alikua ananiuliza mengi sikuyategemea ila kwakua nilikua najua majibu yangu ndio yatapelekea kwenye makadilio ilinibidi nitumie akili nyingi kujibu,

Ss nilivyotoka nikawa najiuliza hivi kwa mtu ambae hajui ataulizwa nn na pengine hana elimu ya hata ndogo ya uchumi na kuhusu kodi akienda si anaweza kujikuta anapewa makadilio makubwa akaogopaa!!!

Ila kulipa kodi ni muhimu na inaleta raha ktk kufanya biashara yako japo ujanja upo tunafanya na tutaendelea kuufanya [emoji2]
 
Safi sana chief pia Asante .kwa kuchallenge/kufungua bongo zetu, nimesoma uzi wote na hakika nimepata vitu,

Moja ya sababu ya mm kujiunga JF ni kupitia jukwaa la Ujasiriamali na Biashara/Uchumi,
...na kupitia mada kama hizi naamini vijana wakijadiliana kwa hoja na kufanyia kazi mjadala wanaweza kuinua uchumi wao na uchumi wa taifa pia,

Tukija kwenye huu mjadala asee ni kweli hizo fursa umeziongelea ni fursa muhimu niongezee moja au kama ktk muendelezo itakuwepo pia itapendeza...hii Sekta AFYA inafursa ktk kipind hiki cha term 5 ambayo wengi wanalia vyuma kukaza, uligusie hili pia chief...

Asee pia ngoja niwe mkweli kwa upande wangu naona TZ kwenye sekta ya ujasiriamali wanazingua sanaaa hasa hao wazee wa TRA....si ajabu watu tunaikimbia nchi kwenda kuangalia fursa sehemu zingine kwenye mazingira rafiki.
 
Hicho cheo ulichoniita cha 'mama wa ujinga'..ni lini mama yako amekiacha?

Maana navyokumbuka katika dunia yetu ya 'ujinga' yeye ndio Malkia wetu!!
dah..unazidi kujipambanua uwezo wako ndani ya bufuru..endelea kudanganya watu na biashara ya urembo ilhali warembo wanategemea kuhongwa ili wajirembe na wahongaji wakiwa na hali mbaya kifedha
 
Le mutuz akili kubwa atapitia sasa hivi(nimesema tuu)

Anyway kila kitu hapo ni fact!!
Nimewai jaribu hiyo ya chakula kipindi cha nane nane mkoa fulani nikiwa bado ni mwanafunzi wa chuo.Sio siri kwa mtaji mdogo sana ndani ya siku 10 tu nilipata millions.
Hahhahhaa atapita kimya kimya mkuu
 
Back
Top Bottom