Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

Thread nzuri inatukumbusha umuhimu wa ku 'evolve'kwenye biashara zetu. Kuna wafanyabiashara wadogo wanadhani matukio ya kisiasa na uchumi yanayotokea Tanzania na duniani hayana impact kwenye biashara zao hadi its too late.

Pia kuna umuhimu wa wafanyabiashara wadogo kufuatilia bunge la budget kuona jinsi wanavyoweza ku influence tozo za kodi kwenye biashara zao kuna umuhimu sana kwa wafanyabiashara wadogo kuelewa siyo kazi tu ya wabunge na serikali kuwa wekea viwango vya kodi au kurekebisha mazingira ya biashara zao. Wanajukumu la kutetea biashara zao kupitia vikao na madiwani na wabunge wao na siyo kukimbilia kufanya maandamano baada budget kupitishwa na bunge na kodi kuwa sheria. Wale TRA sheria inawalinda, pale mtakapoanza kuinfluence wabunge na serikali waanze kutunga sheria za kodi zinatakazo wapendelea hao TRA hawatawasumbua. Ushauri wangu wafanyabiashara wadogo waanze kuwa proactive.
 
Hskuna asiyetaka kulipa kodi, binafsi nilienda mwenyewe TRA na mpaka sasa nipo na leseni yangu mkononi, sina hofu ya kufungua kibanda changu, tatizo ni ukadiriaji wa kodi kwa anayeanza kufanya biashara kama mimi. Hili suala huwezi kulisemea kama hujaenda TRA ukakutana na uhalisia
 
Haya matatizo ya kuwa na makadirio makubwa ya kodi, leseni chungu nzima (sijui Fire,TFDA,TBS,OSHA etc) na mifuko ya kila aina ya kuchangia (NSSF,WCF etc) yatapungua kama wafanyabiashara especially wadogo wakianzisha lobbying groups zao. Watengeneze networks na wabunge na serikali iliwa influence sheria zinazotungwa bila hivyo hesabu maumivu. Haiwezekani kupata sheria rafiki kama watunga sheria wenyewe hawajahi kufanya biashara hata siku moja ya maisha yao.
 
ILIKUAJE BOSS TUPE MECHANISM
 
chief inaonekana hii ishu ya tra na kodi ni changamoto kubwa sana kwa wajasiriamali sio mbaya km ukija na uzi wa kuwaelimisha namna ya kupata favour ya iz kodi
Ukilipa kodi unakuwa huru sana katika biashara yako. Hakuna namna lazima kodi ilipwe, changamoto ni makadirio yanayofanywa na TRA, huwezi kukwepa kodi labda ufunge biashara.
 
Ngoja nisuscribe nisubir muendelezo..hongera mkuu kwa kutukumbusha vijana inatakiwa tuongeze ubongo kwa mambo kama haya
 
Safi Mkuu kwa kumpa ushauri huyo jamaa kutokana na business plan yake, kilichomuumiza ni upupa wake bila kuangalia hali halisi. Pili kwa ushauri murua wa aina gani za biashara mtu anaweza akatumbukiza senti yake na mrejesho ukawa vyema tu.
Asante sana
 
Hebu fafanua tatizo kwenye ukadiriaji. Kwa ninavyofahamu ukienda TRA maelezo yako ndio yanawapa wao muelekeo wa kadirio.
 
Hebu fafanua tatizo kwenye ukadiriaji. Kwa ninavyofahamu ukienda TRA maelezo yako ndio yanawapa wao muelekeo wa kadirio.
Kwanini watumie maelezo kukukadiria, hili ndo tatizo haswa. Pia inategemea nani unampa maelezo, wengine hawaelewi wanajua kukupangia tu cha kulipa.
 
Cc. Inna shunie

Jamaani Mzee wa empty set katukubali kinomaaa......woyoooooooo[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…