Orodha ya biashara kwa mtaji kiduchu zenye uhakika wa kukulipa awamu hii ya tano

Cc. Inna shunie

Jamaani Mzee wa empty set katukubali kinomaaa......woyoooooooo[emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91] [emoji91]
[emoji7][emoji7][emoji7] le akili kubwaz boma nye nye nye le kokobanga the list mwenye akili zake kaka yetu sie witnessj Inna
 
mbona biashara nyingi duniani za size ya kati na ndogo zipo ktk makundi uliyoyasema ya addiction na urahibu
 
Urahibu ni tafsiri ya kiswahil ya addiction..ikiwa na maana ni kitu kimoja na si makundi au tafsir tofauti

Hahaha umeunguza account nini Econometrician??
hahahaha umenichekesha ulipo sema nimeunguza account! mkuu kupitiwa ila nilikuwa namanisha necessity and addictive goods
 
Nimekupata mchumi, ila naomba maelezo kidgo kwenye betting centre watu huwa wanapataje faida?
 
Hahaha Mzee wa 'ku-download' sikutegemea kabisa kukuona apa maana najua saivi 'umelala' ukisubiri soko kesho maana na 'lenyew' 'eti' huwa linaenda 'weekend' kidogo.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Mkuu mimi ni mjasiriamali wa hatari kuliko unavyofikiri.
Leo nimefarijika kuona kumbe una madini flani.
Huwa nakuweka kwenye kundi la walevi mavi, kumbe sivyo!
Hongera sana
 
Uko sawa kabisa katika Hizo nafanya mojawapo kwakweli sijutii
 
Inasemekana mzee baba una chai sana
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…