screpa
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 10,857
- 15,866
Tz inaongoza kwa matumizi ya mtandao wa Instagram Africa
Ni kweli kabisa, coz watz tunapenda umbeambea, udakuudaku, na kuuza sura ndo maan ule mtandao umetufit sana. Ila Twitter wengi wanauogopa coz hauna mbwembwe na sio mtandao wa vilaza