Elections 2015 Orodha Ya Kashfa Za Mgombea Huyu Ni Hatari Sana Hafai, Ona Nawe Ongezea Nyingine

Elections 2015 Orodha Ya Kashfa Za Mgombea Huyu Ni Hatari Sana Hafai, Ona Nawe Ongezea Nyingine

britanicca

JF-Expert Member
Joined
May 20, 2015
Posts
16,295
Reaction score
33,994
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA
 
Mkimteua huku, mimi nahama. Wakimteua kule naenda kumwunga mkono. Mwaka huu wengi wameacha kutafakari mambo kwa undani, wamechochewa hasira kwa manufaa ya wapiga dili. Wengi ni vijana, hata wakionywa na wazee wanaendelea kuziba masikio, wanafikiri "Majuto ni mjukuu" ni kijana mwema! CHUKUA TAHADHARI.
 
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA

Hoja zako hazina mashiko
 
Hiyo ni fasihi simulizi, kusadikika huko. Hauna hata proof moja katika mashtaka yako yote.
 
Magufuli mwizi kuliko Lowassa,

Magufuli hafai na chama chake hakifai!!!
Magufuli kauza nyumba za serikali kwa bei ya dagaa nchi nzima,nyumba za osterbay na Msasani tu ni zaidi ya trillion 1,je kwa Tanzania nzima ni kiasi gani??!!! Ushahidi upo na inajulikana,usafi anapata wapi??!

Magufuli ni fisadi kuliko Lowassa,Magufuli Hafai na CCM yake!

Magufuli kwa mwaka jana tu ofisi yake imefisadi zaidi ya 70 billion na ushahidi upo-report ya CARG-2014/2015 Usafi anaupata wapi??!!

Magufuli hafai,ni fisadi kushinda Lowassa,report ya CARG na bunge lilithibitisha Magufuli alidanganya umma na bunge kwa ufisadi wa zaidi ya 250 billion kuwa malipo hewa kwenye report ya CARG 2011-214,USAFI anapata wapi??!!

Lowassa ana tuhuma tu na hakuna alilothibitishwa nalo na Mengine amewataja wahusika kama suala la Richmond na wamekaa kimya,Tuhuma dhidi ya wapinzani wake kisa ni tishio??!!
 
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA

Kweli wewe ni Lofa, yani umebaki tu kusema unasikia. Lowasa Ikulu inamuhusu safari hii
 
Ndio tukasema kwanza ni kuleta mabadiliko na kuiondoa CCM ,huyo mgombea ni mmoja tu toka CCM ila huko kuna wangapi wa dizaini yake ,sasa wewe kwa akili yako huko alikotoka ndiko kwenye mazalio ya watu aina hiyo ,unaonaje hatua ya mwanzo ni kuangamiza kiota cha mazalio; Huko ni kuikataa CCM na kuikataa CCM ni kwapiga na chini wagombea wao wote popote walipo aka kuwanyima kura bora upigie JIWE kulipa kura yako kuliko kumpa mgombea wa CCM huko utakuwa umeshiriki katika kuangamiza kiota chenye kuzalisha watu dizaini hiyo.

Tuhuma itabakia kuwa tuhuma milele hadi kiama na ni wengi wenye tuhuma ,kama utakumbuka akina Seif Sharif na wenzake kama tisa walitimuliwa CCM hatukuona kufikishwa mahakamani leo ni viongozi wakuu na wengine wameishatangulia mbele ya haki,

Pia Seif Sharif na wenzake walituhumiwa ni wahaini wakafikishwa mahakamani leo Sefu ni makamo wa Raisi wa Zanzibar na ni mgombea Uraisi, ajabu haitokuwa kwa mgombea kutoka UKAWA.

Mtuhumiwa atabakia kuwa mtuhumiwa tena tuhuma ambazo CCM mnashindwa kuzifikisha mahakamani unajua kwanini huenda ikawa mtuhumiwa sie mhusika mkuu wa tuhuma hizo na endapo zitafikishwa serikali ya Mkapa,Kikwete zingevunjikilia mbali ,ni bora mkanyamaza maana kiota kipo huko CCM.
 
Mi nilidhani umeshuhudia kumbe na wewe unasikia tu?
Huo ndio tunauita umbwiga
 
kumbe hapo awali ulikuwa kiziwi!, hongera kwa kupata uponyaji sasa unasikia..endelea kusikia.
Mwaka huu itakula pabaya kwa chama tawala, haijalishi mnaemtuhumu ni mchafu ndio huyo huyo atakayechaguliwa huu ni wakati wa kuibomoa taasisi iliyoacha misingi ya TANU na kujijengea misingi yake potofu.
Kwa hiyo ndugu wee tega sikio endelea kusikia zikiongezeka take your time kuja kuziongezea.
 
Vijana wa ccm wanauji kwenye vichwa sijuwi kwanini hwajuwi kuwa vijana wa Tanzania ya leo siyo wa Tanzania ya jana hapa mnazidi kujifunuwa nyeti zenu labda malofa tufe ila kura ni lowassa hakuna ubishi /
 
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA
Ndio maana tunataka kuiondoa CCM iliyolea upuuzi huu kwa miaka 54. Tuunge mkono.
 
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA

Tunataka kumpa nchi ili aiuze maana tumechoka kudaiwa aiuze nchi ili alipe madeni tunayodaiwa

madeni yalioletwa na ccm
 
Magufuli mwizi kuliko Lowassa,

Magufuli hafai na chama chake hakifai!!!
Magufuli kauza nyumba za serikali kwa bei ya dagaa nchi nzima,nyumba za osterbay na Msasani tu ni zaidi ya trillion 1,je kwa Tanzania nzima ni kiasi gani??!!! Ushahidi upo na inajulikana,usafi anapata wapi??!

Magufuli ni fisadi kuliko Lowassa,Magufuli Hafai na CCM yake!

Magufuli kwa mwaka jana tu ofisi yake imefisadi zaidi ya 70 billion na ushahidi upo-report ya CARG-2014/2015 Usafi anaupata wapi??!!

Magufuli hafai,ni fisadi kushinda Lowassa,report ya CARG na bunge lilithibitisha Magufuli alidanganya umma na bunge kwa ufisadi wa zaidi ya 250 billion kuwa malipo hewa kwenye report ya CARG 2011-214,USAFI anapata wapi??!!

Lowassa ana tuhuma tu na hakuna alilothibitishwa nalo na Mengine amewataja wahusika kama suala la Richmond na wamekaa kimya,Tuhuma dhidi ya wapinzani wake kisa ni tishio??!!

Kusema Kweli Hakuna Ukweli Juu Ya Taarifa Unazotoa, Ebu Rejea Hotuba Ya Sumaye Akitangaza Nia
 
Hiyo habari inanikumbusha hadithi moja ivi ya kuku na kanga
Kuku alikua anajifanya amesoma sana kumzidi kanga kwahiyo alitumia njia hiyo kumtesa kanga kila sehemu alikua anamtuma kanga yeye kuku amekaa tuu anaandika siku moja kuku alitaka kumtuma kanga
Kanga akasema mimi leo nimechoka naomba na wewe uende ukachukue
Kuku alichukia sana kutokana na elimu yake aliona ni dharau kubwa sana kuku kumwabie vile
Kwa gadhabu kuku alichukua biki na kuanza kumdonoa kanga na jinsi alivyo kuwa anadizi kumdonoa ndivyo kanga alizidi kupendeza kuku alivyo ona kanga amependeza sana akataka na yeye aanze kujidonoa akakuta wino umeisha na ndio maana mpaka leo kanga anapendeza na kuvutia

Lakini hii hadithi naona imejirudia mwaka huu
Mnavyo zidi kumpondea lowassa ndio anazidi kuwa maarufu na siku mkistuka kwamba na nyinyi ccm umaarufu mnauhitaji mtakuta tayari muda umekwisha.
 
Back
Top Bottom