britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 16,295
- 33,994
Habari Zenu Watanzania, Mimi Nina Sababu Kusema Huyu Jamaa Hafai Na Kifuatia Yafuatayo
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA
1. Nasikia Tuhuma Na Kashfa Alipokuwa Mkurugenz AICC
2. Tuhuma akiwa wizara ya ardh kuhusu ranchi
3. Tuhuma akiwa waziri wa maji
4. Tuhuma jimbon kwake za mabilion ujenz wa visima,
5. tuhuma kutaka kutupga kupitia maigizo ya mvua ya kutengeneza ya thailand kuileta tz japo dili lilibuma,
6. tuhuma za kutoa rushwa kwa maaskofu
7, Tuhuma za kuwatumia walala hoi kupata madaraka kuwadanganya kuwalipa mabodaboda na kuwadhulum
8. tuhuma kuhusu mtoto wake kununua nyumba ya gharama ya mabilion uingereza kwa ela za Uoza,na uingereza Ikalaum
9. kujiusisha na wafanyabiashara wakubwa madalali waliotutia hasara
10. scotland kumtuhum kuhamisha mabilion kwenda uko kwa Siri
11. kuingizia taifa hasara kupitia richmond hawez kukwepa hapa
12. kutugawa kwa udin makanisan
13.tuhuma kutoudhulia msiba wa nyerere kwa ajenda binafsi
15. kulidanganya bunge na watanzania juu ya richmond,
SAIDIA KUORODHESHA NYINGINE UKO CHIN, NAJUA MTATAKA KUTAJA