2014/15
Member
- Apr 5, 2015
- 15
- 2
Tunaiomba tamisemi ituwekee hewani orodha yetu ya majina ya walimu wapya kwa mwaka wa kumalizia masomo 2014/15 kama walivyotuahidi sisi wahitimu kupitia vyombo mbalimbali nchi Tanzania kama vile Runinga:ITV,Magazet:Habarileo .Tanzania daima.Katika gazeti la habari leo lilinukuliwa likisema kwamba ajira za walimu wapya kwa mwaka wa masomo 2014/15 zitatoka ifikapo aprili 24 mwaka huu ,vyombo vyengine vya habari viweza kusema ajira hizo zitatolewa ifikapo aprili 25 mwaka huu,ambapo ndio leo hadi muda huu magaribi yameshaingiaga bado orodha ya majina hayajakuwa hewani kama ilivyosemwa kwamba yataonekana kupitia tovuti ya TAMISEMI(Pmoralg - Prime Minister's Office Regional Administration and Local Government | Tanzania) na ya wizara ya elimu (United Republic Of Tanzania - Ministry of Education and Vocational Training) .Tunaiomba Wizara ya elimu ituwekee orodha ya majina ya walimu wapya 2014/15.by:SISI NI WATENDAJI WA KAZI TUNAYOIPENDA KAZI YETU.