Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hahaaa...wanatukanwa ..koment hazizidi ngapi ??Inategemea na kismart chako..
Wapo wanopost mambo ya maana wanapewa likes za kufa mtu... Na wengine hawapati likes
Wapo wanaopost upupu wanakula likes za maana na makoments kibao na wengine upupu wanatukanwa mpaka wanajutraa na koments hazizidi kumi
Wengine intermediate....inategemea na thread yako ya siku hio
Cc Smart911
oooooohhhh mambo ya kina bi tukinao haya...hahaa watu walijazana Humu kama mtaa wa Kongo...usinikumbushe ule Uzi wa mahondaw na smart wa Dodoma kumbe huwa mnaishi Dodoma yaani ulitaka kujiua kiss penzi la Mr smart ...?daahhh JF ina mambo acha tuHahahahaha Ukitaka kujua mtu ni star humu kuwe na scandal bana.... Watafufuka hadi member waliokufa
Cc Smart911
Huyo slow learner inabidi niende nae taratibuu.Lile somo la kutooa nje halijaeleweka kwa ice man we ndip mentor wake rudia somo na mpe vitini kabisa
Nimepokea mpenzi, good evening!Pokea tu
[emoji111]Nimepokea mpenzi, good evening!
Kuna nyuzi humu zinaanzishwa zinageuka genge la story na siyo kuchangia mada.
Uzi una 1, 2k lakini ukifungua hamna cha maana yaani mtoa mada mwenyewe unakuta robotatu ya comment ni zake.
Jeiefu noma
Mbona hujaja chemba nimekusubiri hadi chai imepoakwakweli alafu ntakujia chemba namazungumzo kidogo uandae chai
nilikua nakusubir uone text na ndo umeona sahvMbona hujaja chemba nimekusubiri hadi chai imepoa
hahaha huu ni ukweli kabsaKuna nyuzi humu zinaanzishwa zinageuka genge la story na siyo kuchangia mada.
Uzi una 1, 2k lakini ukifungua hamna cha maana yaani mtoa mada mwenyewe unakuta robotatu ya comment ni zake.
Jeiefu noma
Sawanilikua nakusubir uone text na ndo umeona sahv