Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,797
- 28,904
Nasibu Nyange a.k.a Diamond platnumz yupo nafasi ya ngapi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣Bila uwepo wa jina la Kiduku Lilo basi hii orodha ni feki.
Mbele ya hiyo miamba hapo Bakhresa mtoto mdogopesa ya madafu!!!?... seriously!!!? 😂 😂 😂
Hapo hakuna GSM, wala bakheresa, wala MO halafu unamtaja DiamondNasibu Nyange a.k.a Diamond platnumz yupo nafasi ya ngapi?
Kwa mbwembwe zake nilijua atakuwa on top maana kuna interview yake moja alicalculate malipo anayolipwa kwa kila dakikaHapo hakuna GSM, wala bakheresa, wala MO halafu unamtaja Diamond
Ahahahahahaha achana na udaku huoKwa mbwembwe zake nilijua atakuwa on top maana kuna interview yake moja alicalculate malipo anayolipwa kwa kila dakika
Verified member umekula ban kiroho safi kabisaYupo nafasi ya 13
Wacheza mpira wa singida united.Bakhressa na Mo nani?
Siyo vizuri kumlinganisha Bakhresa na huyo mhujumu uchumi aliye tudhulumu blioni 20 zetu pale Msimbazi. Bakhresa siyo mtu wa kupenda kujionesha na kujitutumua kama Mwamedi.Bakhressa na Mo nani?
Utopolo hamkoseni kila uzi unaomhusu Mo. Eti bilioni sh zetuuu. Unabana pua kabisaSiyo vizuri kumlinganisha Bakhresa na huyo mhujumu uchumi aliye tudhulumu blioni 20 zetu pale Msimbazi. Bakhresa siyo mtu wa kupenda kujionesha na kujitutumua kama Mwamedi.
Ila naamini kwa utajiri na uwekezaji wake, na angeamua kujipambanua kama hao wengine, basi hata 10 bora angekuwepo.
[emoji849]Utopolo hamkoseni kila uzi unaomhusu Mo. Eti bilioni sh zetuuu. Unabana pua kabisa