mwananchi wa pemba
Senior Member
- Apr 2, 2013
- 129
- 80
Cjui kama ni kweli au ....nimeitoa huko kwenye mitandao....
Top 10 ya matajiri bongo
1.saidi bakhresa-trilion 1
2.Gulam Dewji-billion 900
3.Rostam Aziz-billion 672
4.Reginald Mengi-billion 450
5.Ali Mufukuri-billion 176
6.Mustafa Sabodo-billion 100
7.AbdulAziz Abood-billion 98
8.Michael Shirima-billion 96
9.Yussuph Manji-billion 93
10.mohamed Dewji-billion
Sasa kama ni kweli..hivi hawa wangeshindwa ku invest kwenye Gas? Hata kama hawana izo pesa ila level zao sio za ku invest kwenye kilimo cha matunda na mbogamboga kama waziri anavyo dai
NOTE: hii horodha imeweka wafanya biashara kama ingekua na wanasiasa basi ridhi 1 ( mtoto wa presdnt) angekua nafasi ya 6 pale...
Top 10 ya matajiri bongo
1.saidi bakhresa-trilion 1
2.Gulam Dewji-billion 900
3.Rostam Aziz-billion 672
4.Reginald Mengi-billion 450
5.Ali Mufukuri-billion 176
6.Mustafa Sabodo-billion 100
7.AbdulAziz Abood-billion 98
8.Michael Shirima-billion 96
9.Yussuph Manji-billion 93
10.mohamed Dewji-billion
Sasa kama ni kweli..hivi hawa wangeshindwa ku invest kwenye Gas? Hata kama hawana izo pesa ila level zao sio za ku invest kwenye kilimo cha matunda na mbogamboga kama waziri anavyo dai
NOTE: hii horodha imeweka wafanya biashara kama ingekua na wanasiasa basi ridhi 1 ( mtoto wa presdnt) angekua nafasi ya 6 pale...