Orodha ya matajiri kumi Tanzania

Networth si lazima imaanishe fedha zilizo benki. Unaweza kuwa worth 10 billion lakini usiwe hata na shilingi millioni 100. Mfano reginald mengi anaweza kuwa na utajiri huo lakini 90% ukawa ni thamani ya mitambo ya ITV, mitambo ya redio, infrastructure za migodi n.k ambazo zote hizo kakopa benki hivyo anaweza akawa hana hela ambayo iko tayari readily kuwekezwa .
 
Vipi idi simba?
 
Vigezo gani mmetumia kupata list ya utajiri wao
 
Kumbe general shimbo amepiga bao kubwa. Kama bakhresa ana trilion 1 na shimbo yuko nazo tatu basi jamaa yuko juu sana
Mitumishi ya Umma ya Bongo noma sana.Yaani inakuwaje Shimbo awe na mihela ya kiasi hiki na aangaliwe tu?Haya mabomu wanayopigwa kila siku waandamanaji kwa nini nguvu hiyo hiyo isitumike kuwasafisha mafisadi?You just have to at least hate this country! khaa!?
 

Aah vijisent tu kumbe
 

tULETTE ORODHA YA WALIPA KODI WAKUBWA TANZANIA.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…