Orodha ya Matajiri wakubwa Afrika

Orodha ya Matajiri wakubwa Afrika

Salute!!

Habari wakuu ebwana Leo nipo na morali kabisa nakuletea orodha ya matajiri wakubwa zaidi Africa.

= Mabilionea 25 matajiri zaidi Afrika


Utajiri wa Dangote unakadiriwa kuwa jumla ya $12.2 bilioni.

Kuna mabilionea (wa Dola) 25 mwaka huu barani Afrika, mmoja juu ya 24 waliokuwepo mwaka jana.

Wafanyabiasha kutoka Nigeria Femi Otedola na Abdulsamad Rabiu hawakufanikiwa kuingia kwenye orodha hiyo mwaka huu.

Mtanzania Mohammed Dewji bado ndiye bilionea wa umri mdogo zaidi Afrika, utajiri wake ukikadiriwa kuwa $1.09 bilioni.


Bw Dangote Dangote, ndiye mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Cement inayoongoza kwa kuzalisha saruji Afrika. Anamiliki asilimia 90 ya hisa za kampuni hiyo.

Dangote Cement huzalisha tani 44 milioni za saruji kila mwaka na imepanga kuongeza uzalishaji kwa asilimia 33 kufikia 2025.

Dangote pia anamiliki hisa katika kampuni za chumvi, sukari na unga.


Mohammed Dewji ni afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya METL iliyoanzishwa na babake miaka ya 1970.

Kampuni hiyo huhusika katika biashara ya nguo, unga, vinywaji na mafuta.

Kampuni hiyo huendesha shughuli zake katika zaidi ya mataifa sita barani Afrika.

Mabilionea 25 wa Afrika

1. Aliko Dangote, Nigeria

Utajiri: $12.2 bilioni

2. Nicky Oppenheimer, Afrika Kusini

Utajiri: $7 bilioni

3. Mike Adenuga, Nigeria

Utajiri: $6.1 bilioni

4. Johann Rupert, Afrika Kusini

Utajiri: $6.3 bilioni

5. Nassef Sawiris, Misri

Utajiri: $6.2 bilioni

6. Christoffel Wiese, Afrika Kusini

Utajiri: $5.9 bilioni

7. Nathan Kirsch, Swazi land

Utajiri: $3.9 bilioni

8. Naguib Sawiris, Misri

Utajiri: $3.8 bilioni

9. Isabel dos Santos, Angola
Utajiri: $3.1 bilioni

10. Issad Rebrab, Algeria
Utajiri: $3 bilioni

11. Mohamed Mansour, Misri

Utajiri: $2.7 bilioni

12. Koos Bekker, Afrika Kusini

Utajiri: $2.1 bilioni

13. Allan Gray, Afrika Kusini

Utajiri: $1.99 bilioni

14. Othman Benjelloun, Morocc o

Utajiri: $1.9 bilioni

15. Mohamed Al Fayed, Misri

Utajiri: $1.82 bilioni

16. Patrice Motsepe, Afrika Kusini

Utajiri: $1.81 bilioni

17. Yasseen Mansour, Misri

Utajiri: $1.76 bilioni

18. Folorunsho Alakija, Nigeria
Utajiri: $1.61 bilioni

19. Aziz Akhannouch, Morocc o

Utajiri: $1.58 bilioni

20. Mohammed Dewji, Tanzania
Utajiri: $1.4 bilioni

21. Stephen Saad, Afrika Kusini

Utajiri: $1.21 bilioni

22. Youssef Mansour, Misri

Utajiri: $1.15 bilioni

23. Onsi Sawiris, Misri

Utajiri: $1.14 bilioni

24. Anas Sefrioui, Misri

Utajiri: $1.06 bilioni

25. Jannie Mouton, Afrika Kusini

Utajiri: $1 bilioni

Tajiri namba Ni 9 Ni mtoto wa raisi mstaafu Jose Eduardo Santos aliyestaafu 2017. Jose Eduardo Santos alikuwa raisi wa pili baada ya kufa Agostinho Neto.
 
Salute!!

Habari wakuu ebwana Leo nipo na morali kabisa nakuletea orodha ya matajiri wakubwa zaidi Africa.

= Mabilionea 25 matajiri zaidi Afrika


Utajiri wa Dangote unakadiriwa kuwa jumla ya $12.2 bilioni.

Kuna mabilionea (wa Dola) 25 mwaka huu barani Afrika, mmoja juu ya 24 waliokuwepo mwaka jana.

Wafanyabiasha kutoka Nigeria Femi Otedola na Abdulsamad Rabiu hawakufanikiwa kuingia kwenye orodha hiyo mwaka huu.

Mtanzania Mohammed Dewji bado ndiye bilionea wa umri mdogo zaidi Afrika, utajiri wake ukikadiriwa kuwa $1.09 bilioni.


Bw Dangote Dangote, ndiye mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Cement inayoongoza kwa kuzalisha saruji Afrika. Anamiliki asilimia 90 ya hisa za kampuni hiyo.

Dangote Cement huzalisha tani 44 milioni za saruji kila mwaka na imepanga kuongeza uzalishaji kwa asilimia 33 kufikia 2025.

Dangote pia anamiliki hisa katika kampuni za chumvi, sukari na unga.


Mohammed Dewji ni afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya METL iliyoanzishwa na babake miaka ya 1970.

Kampuni hiyo huhusika katika biashara ya nguo, unga, vinywaji na mafuta.

Kampuni hiyo huendesha shughuli zake katika zaidi ya mataifa sita barani Afrika.

Mabilionea 25 wa Afrika

1. Aliko Dangote, Nigeria

Utajiri: $12.2 bilioni

2. Nicky Oppenheimer, Afrika Kusini

Utajiri: $7 bilioni

3. Mike Adenuga, Nigeria

Utajiri: $6.1 bilioni

4. Johann Rupert, Afrika Kusini

Utajiri: $6.3 bilioni

5. Nassef Sawiris, Misri

Utajiri: $6.2 bilioni

6. Christoffel Wiese, Afrika Kusini

Utajiri: $5.9 bilioni

7. Nathan Kirsch, Swazi land

Utajiri: $3.9 bilioni

8. Naguib Sawiris, Misri

Utajiri: $3.8 bilioni

9. Isabel dos Santos, Angola
Utajiri: $3.1 bilioni

10. Issad Rebrab, Algeria
Utajiri: $3 bilioni

11. Mohamed Mansour, Misri

Utajiri: $2.7 bilioni

12. Koos Bekker, Afrika Kusini

Utajiri: $2.1 bilioni

13. Allan Gray, Afrika Kusini

Utajiri: $1.99 bilioni

14. Othman Benjelloun, Morocc o

Utajiri: $1.9 bilioni

15. Mohamed Al Fayed, Misri

Utajiri: $1.82 bilioni

16. Patrice Motsepe, Afrika Kusini

Utajiri: $1.81 bilioni

17. Yasseen Mansour, Misri

Utajiri: $1.76 bilioni

18. Folorunsho Alakija, Nigeria
Utajiri: $1.61 bilioni

19. Aziz Akhannouch, Morocc o

Utajiri: $1.58 bilioni

20. Mohammed Dewji, Tanzania
Utajiri: $1.4 bilioni

21. Stephen Saad, Afrika Kusini

Utajiri: $1.21 bilioni

22. Youssef Mansour, Misri

Utajiri: $1.15 bilioni

23. Onsi Sawiris, Misri

Utajiri: $1.14 bilioni

24. Anas Sefrioui, Misri

Utajiri: $1.06 bilioni

25. Jannie Mouton, Afrika Kusini

Utajiri: $1 bilioni
Hongera kwake MO kwa kuiwakilisha nchi yetu vema.
 
Mosesi Katumbi mbona hayupo kwenye hiyo list?
Huenda Ni tajiri lakini sio billionaire, Labda millionaire au huenda top number ya waliotajwa hapo juu hajakidhi vigezo.. si Katumbi ya DRC Congo ambae ndie mwenye TP Mazembe?
 
Salute!!

Habari wakuu ebwana Leo nipo na morali kabisa nakuletea orodha ya matajiri wakubwa zaidi Africa.

= Mabilionea 25 matajiri zaidi Afrika


Utajiri wa Dangote unakadiriwa kuwa jumla ya $12.2 bilioni.

Kuna mabilionea (wa Dola) 25 mwaka huu barani Afrika, mmoja juu ya 24 waliokuwepo mwaka jana.

Wafanyabiasha kutoka Nigeria Femi Otedola na Abdulsamad Rabiu hawakufanikiwa kuingia kwenye orodha hiyo mwaka huu.

Mtanzania Mohammed Dewji bado ndiye bilionea wa umri mdogo zaidi Afrika, utajiri wake ukikadiriwa kuwa $1.09 bilioni.


Bw Dangote Dangote, ndiye mwanzilishi na mwenyekiti wa kampuni ya Dangote Cement inayoongoza kwa kuzalisha saruji Afrika. Anamiliki asilimia 90 ya hisa za kampuni hiyo.

Dangote Cement huzalisha tani 44 milioni za saruji kila mwaka na imepanga kuongeza uzalishaji kwa asilimia 33 kufikia 2025.

Dangote pia anamiliki hisa katika kampuni za chumvi, sukari na unga.


Mohammed Dewji ni afisa mkuu mtendaji wa kampuni ya METL iliyoanzishwa na babake miaka ya 1970.

Kampuni hiyo huhusika katika biashara ya nguo, unga, vinywaji na mafuta.

Kampuni hiyo huendesha shughuli zake katika zaidi ya mataifa sita barani Afrika.

Mabilionea 25 wa Afrika

1. Aliko Dangote, Nigeria

Utajiri: $12.2 bilioni

2. Nicky Oppenheimer, Afrika Kusini

Utajiri: $7 bilioni

3. Mike Adenuga, Nigeria

Utajiri: $6.1 bilioni

4. Johann Rupert, Afrika Kusini

Utajiri: $6.3 bilioni

5. Nassef Sawiris, Misri

Utajiri: $6.2 bilioni

6. Christoffel Wiese, Afrika Kusini

Utajiri: $5.9 bilioni

7. Nathan Kirsch, Swazi land

Utajiri: $3.9 bilioni

8. Naguib Sawiris, Misri

Utajiri: $3.8 bilioni

9. Isabel dos Santos, Angola
Utajiri: $3.1 bilioni

10. Issad Rebrab, Algeria
Utajiri: $3 bilioni

11. Mohamed Mansour, Misri

Utajiri: $2.7 bilioni

12. Koos Bekker, Afrika Kusini

Utajiri: $2.1 bilioni

13. Allan Gray, Afrika Kusini

Utajiri: $1.99 bilioni

14. Othman Benjelloun, Morocc o

Utajiri: $1.9 bilioni

15. Mohamed Al Fayed, Misri

Utajiri: $1.82 bilioni

16. Patrice Motsepe, Afrika Kusini

Utajiri: $1.81 bilioni

17. Yasseen Mansour, Misri

Utajiri: $1.76 bilioni

18. Folorunsho Alakija, Nigeria
Utajiri: $1.61 bilioni

19. Aziz Akhannouch, Morocc o

Utajiri: $1.58 bilioni

20. Mohammed Dewji, Tanzania
Utajiri: $1.4 bilioni

21. Stephen Saad, Afrika Kusini

Utajiri: $1.21 bilioni

22. Youssef Mansour, Misri

Utajiri: $1.15 bilioni

23. Onsi Sawiris, Misri

Utajiri: $1.14 bilioni

24. Anas Sefrioui, Misri

Utajiri: $1.06 bilioni

25. Jannie Mouton, Afrika Kusini

Utajiri: $1 bilioni
Ukiangalia hapo utagundua matajiri wengi ni Waisilamu
 
Back
Top Bottom