AaahhaaaNi guraha kuona yanga hizi takwinu saivi na nyie mnazifuatilia🤣
IVigezo vingi vinaangaliwa mzee
Ana CPA ya mchongo aka mboga2.Kwani yule Mhasibu wa Mwamedi naye anasemaje?
Kolo wizard....mjitahidi mtafika hukuKwa hivyo ulivyo KIAZI [emoji1648] ukaona uiondoe esperence uipachike UTO
Sent from my TECNO CI6 using JamiiForums mobile app
Makolo mnasafari ndefu sanaView attachment 2802402
Achana na Matango Pori ya Mitandaoni we Uto, Toka lini Utopolo akawa juu ya S.S.C,Mamelod, Cr Belouzidad kwenye orodha rasmi ya CAF..?
Tujadili yanayotuhusu.. ! Ujue hapo Jangwani kuna majanga hizi mvua zinazoendelea...
Sawadakta nami nimehisi hivyo ila akili ikanigomea USM alger ambae ametwa shirikisho na bado akamtwanga al ahly kwenye super cup japo ligi ya ndani hakufanya vizuri, ndio asiwemo hata kwenye 10 bora wakati hapo kawazidi mafanikio wengi tu, kuna watu wapo kwenyr listi hata kombe la nyumbani hawakubeba, makombe ya caf hawakugusa.Mafanikio ya ligi za ndani
Mafanikio ya kimataifa... etc