Orodha ya Tanzania Importers and Exporter wa bidhaa mbali mbali za Biashara

Orodha ya Tanzania Importers and Exporter wa bidhaa mbali mbali za Biashara

Ona Sasa

Member
Joined
Jul 2, 2009
Posts
65
Reaction score
11
Kadiri Nchi yetu inavyoendelea kufanya Biashara za kimataifa naonmba mwenye ufahamu anisaidie kunieleza ni wapi naweza kupata Orodha ya makampuni yanayo Import na ku Export bidhaa mbali mbali ndani na nje ya Tanzania.

Pia ni wapi naweza kupata Orodha ya bidhaa za biashara zinazosafirishwa nje na kuingizwa nchini (all categories of commodities)

Nimejaribu kuangalia website muhimu kama Tanzania Chambers of Commerce, TRA, TPA, TCCIA EPZA nk. lakini sijapata hiyo list.

Naomba tusaidiane
 
Kadiri Nchi yetu inavyoendelea kufanya Biashara za kimataifa naonmba mwenye ufahamu anisaidie kunieleza ni wapi naweza kupata Orodha ya makampuni yanayo Import na ku Export bidhaa mbali mbali ndani na nje ya Tanzania.

Pia ni wapi naweza kupata Orodha ya bidhaa za biashara zinazosafirishwa nje na kuingizwa nchini (all categories of commodities)

Nimejaribu kuangalia website muhimu kama Tanzania Chambers of Commerce, TRA, TPA, TCCIA EPZA nk. lakini sijapata hiyo list.

Naomba tusaidiane


naweza nikakusaidia lakini uniambie kwanza za nini???
 
naweza nikakusaidia lakini uniambie kwanza za nini???

Nashukuru kwa nia yako ya kutaka kunisaidia kwa hili, kwa ufupi ni hivi:

Sisi ni wawakilishi GRW Global Corporation yenye Agency worldwide, Kama Agency ya Tanzania, tuna motivate Export ya bidhaa za hapa nchini chini ya platform ya GRW Agency Worldwide yenye database ya wateja duniani kote bidhaa hizo zitapata wateja.
Vile vile Importers wanafaidika kwa kupata source nzuri toka kwenye database yetu under GRW Global platform, hii waweza kuipata hapa

http://www.grwglobal.com

Vile vile tunatoa Trade Finance kwa hawa hawa Importers and Exporters, ingia kwenye link ifuatayo hapa:


http://www.grwfinancial.com

Kwa hiyo nahitaji orodha hiyo tuweze kuwajua Exporters na Importers wa bidhaa mbalimbali hapa nchini tuwaelezee zaidi ni namna gani tunaweza wanaweza kuongeza ufanisi kwa kupitia GRW Global

Natanguliza shukrani




 
How do you finance importations,Are you different from other Financial instutions(Lenders) we use to know?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
How do you finance importations,Are you different from other Financial instutions(Lenders) we use to know?

Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums

If a client wants to import any goods- they go to their bank and ask them to open an at sight letter of credit to the supplier. The client will have to give assets or collateral (same thing to their bank for them to do it. The seller will ship goods and get the bill of lading where the goods are loaded on vessel and he submits those and other loading documents to his bank and get paid on the shipment and the goods are on the way on the vessel to the client. Or a client can ask their bank to issue a deferred LC whereas the maturity for pay off is some date in future, 90 days, 120 days or up to a year. The majority of sellers want to be paid at sight and not wait to get paid. At Sight means at sight of the loading documents at loading port. Our finance specialist has the ability to take the deferred LC that pays off (matures) at some future date where as the supplier is paid at sight. When deferred LC matures then the finance entity collects on it .

We also do project finance, like infrastructure deals, construction deals of all types if the client (government or private) has a suitable guarantee, bank guarantee or other assets, or government guarantee also known as sovereign guarantee.

The application for financing services is on www.grwfinancial.com
 
If a client wants to import any goods- they go to their bank and ask them to open an at sight letter of credit to the supplier. The client will have to give assets or collateral (same thing to their bank for them to do it. The seller will ship goods and get the bill of lading where the goods are loaded on vessel and he submits those and other loading documents to his bank and get paid on the shipment and the goods are on the way on the vessel to the client. Or a client can ask their bank to issue a deferred LC whereas the maturity for pay off is some date in future, 90 days, 120 days or up to a year. The majority of sellers want to be paid at sight and not wait to get paid. At Sight means at sight of the loading documents at loading port. Our finance specialist has the ability to take the deferred LC that pays off (matures) at some future date where as the supplier is paid at sight. When deferred LC matures then the finance entity collects on it .

We also do project finance, like infrastructure deals, construction deals of all types if the client (government or private) has a suitable guarantee, bank guarantee or other assets, or government guarantee also known as sovereign guarantee.

The application for financing services is on www.grwfinancial.com
 
What you are looking for is a List of Manufacturers I guess
 
What you are looking for is a List of Manufacturers I guess

Exactly, I am looking for the list of Manufacturers, growers and producers of various commodities which are exported commercially.
Also the importers of various commodities
 
Exactly, I am looking for the list of Manufacturers, growers and producers of various commodities which are exported commercially.
Also the importers of various commodities

If you go to TIC (Tanzania Investment Center) the have a list. You only need to pic your potential clients.
 
Back
Top Bottom