Kadiri Nchi yetu inavyoendelea kufanya Biashara za kimataifa naonmba mwenye ufahamu anisaidie kunieleza ni wapi naweza kupata Orodha ya makampuni yanayo Import na ku Export bidhaa mbali mbali ndani na nje ya Tanzania.
Pia ni wapi naweza kupata Orodha ya bidhaa za biashara zinazosafirishwa nje na kuingizwa nchini (all categories of commodities)
Nimejaribu kuangalia website muhimu kama Tanzania Chambers of Commerce, TRA, TPA, TCCIA EPZA nk. lakini sijapata hiyo list.
Naomba tusaidiane
naweza nikakusaidia lakini uniambie kwanza za nini???
How do you finance importations,Are you different from other Financial instutions(Lenders) we use to know?
Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
Exactly, I am looking for the list of Manufacturers, growers and producers of various commodities which are exported commercially.
Also the importers of various commodities