Maurice Moore
Senior Member
- Aug 22, 2018
- 189
- 309
Ndio Mkuu ya Delina Group ndio jina la kampuniKumbe delina apartments ni za Mosha nashukuru kwa kunijuza
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio Mkuu ya Delina Group ndio jina la kampuniKumbe delina apartments ni za Mosha nashukuru kwa kunijuza
Jamaa yupo vizuri, nashangaa watu wanabeza hustling za wenzao kuna jamaa naona anamchukulia poa msukuma
Hizi ni baadhi ya mali anazomiliki kijana mwenzetu! Ameni inspire xn ktk kutafuta maisha kwa juhudiTangu lini mbunge akaishiwa pesa? Huyo Mosha ndio simjui.
Dhumuni la bandiko?
Sent using Jamii Forums mobile app
kweli kabisa mkuu Jamaa ana mabasi mengi sana huko Mwanza yameandikwa KING MUSUKUMA, pia ana magreda ya kuchongea barabara nliyaona matatu lakini nahisi atakuwa nayo mengi zaidi ya hayo....kiakili mtu huyu naeza akawa anachukua ata Contract za kuchongea barabara..Something Big Deal! Vijana tuwe inspired sio kuwa na wivu ilo ndio somo muhimu kwetuJamaa yupo vizuri, nashangaa watu wanabeza hustling za wenzao kuna jamaa naona anamchukulia poa msukuma
Ye amesema wenye pesa (yaan assets CURRENT ASSETS + FIXED ASSETS) hajasema vyanzo (SOURCES). Wewe umekuja na vyanzo vyao vya pesa kuwa ni haramu, kitu ambacho post haikumanisha hicho na pengine hata wewe ni HEARSAY.Kumbe hao ni matajiri labda Mosha
Huyu msukuma ni muuza ndovu za tembo maarufu saana,kipindi cha Jk wa pili huyu alikua kisanga....wenyeji wa kanda yao wanamjua vyema.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wengi wao ni CCM. Hapo umemsahau Rais ya Dar es salaam BASHITE. Yupo yule kijana wa Msoga mtoto wa JK.Kuna watu hupata fedha baada ya muda mrefuuu tena baada ya kusota sana. Hawa wana kahistoria fulani hivi ka kupambana na mabiashara, kilimo, ufugaji n.k. Historia iliyojaa machungu na upambanaji wa kila namna ( siyo watu wa kazi , madawa ya kulevya ).
Kuna list ya vijana wadogo kabisa ambao wana mali na pesa chafu sana ghafla bin vuu...vijana laini laini tu walioibuka paaapu toka kusikojulikana.
Embu tuwaprodheshe vijana wadogo maarufu wenye pesa zisizoendana na umri wao na namna walivyozipata kibongo bongo!
1. Davis Mosha
2. Joseph Msukuma
3. Livingstone Lusinde
4. Mwigulu Nchemba Madelu
5. January Makamba
6. Adam Malima
7. Ezekiel Maige
Unaweza kuendelea....
Sent using Jamii Forums mobile app
Msukuma sio wakumchukulia poa hata kidogo...ila kama maisha yako yote ni dar huwezi kujua matajiri wa ukanda ule..Kumbe hao ni matajiri labda Mosha
Huyu msukuma ni muuza ndovu za tembo maarufu saana,kipindi cha Jk wa pili huyu alikua kisanga....wenyeji wa kanda yao wanamjua vyema.
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Huyu Mwigulu si alisema ana milioni tano tu benki wakati anagombea urais!? Au kazipata baada!
Polepole huwaga yupo kati..hajulikani yu mzee ama kijanaa lol😂😂hivi yule ni kijana??mtakija sema na pole pole naye ni kijana
Yule hata kwenye uzee baba hayupo...uso umemshupaa kama ganda la fenesi..inshort ni kijeba mbuzi,.😂😂hivi yule ni kijana??mtakija sema na pole pole naye ni kijana
Haumjui Mosha duh pole yako naona ndio anapesa kuliko hao wengine tena msiri siri sio mtu wa kujionyeshaTangu lini mbunge akaishiwa pesa? Huyo Mosha ndio simjui.
Dhumuni la bandiko?
Sent using Jamii Forums mobile app
Delina apartments zipo opposite na Mlimani City?itakua umehadithiwaMosha anamiliki Sheli za Kobil, ana magari ya mafuta yameandikwa Delina zaidi ya 100, Opposite na Mlimani City kuna Ghorofa moja kubwa sana limeandikwa DELINA APARTMENTS roughly limeCost mabilioni ya fedha, anamiliki Magari ya kifahari mengi ya kutembelea kama Rolls Royce, Lamborghini Murcealago, Lummar CLRR etc. hizo ni baadhi ya mali nnazozijua
Sent using Jamii Forums mobile app
Polepole kama msanii wa marekani pharell Williams huyu jamaa anakaribia miaka sitini lakini ukimwangalia kama ana miaka chini ya thelathini.polepole mi hata simuelewi yupo kama mzemzee hivi mara tena kama dogo wa primary mara tena kama kijana mgonjwamgonjwa,,,,mwe
Tatizo aliiba hela za NGO ya kanisa sh laki 6 ndo maana haeleweki.polepole mi hata simuelewi yupo kama mzemzee hivi mara tena kama dogo wa primary mara tena kama kijana mgonjwamgonjwa,,,,mwe