Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 128,308
- 245,426
Orodha hii itaendelea kuboreshwa kwa kadri Majina mengine yanavyotufikia.
Hii ni orodha ya viongozi, wanachama, wananchi na waandishi wa habari walioathirika na kushikiliwa na Jeshi la Polisi leo tarehe 23 Septemba, 2024.
Hii ni orodha ya viongozi, wanachama, wananchi na waandishi wa habari walioathirika na kushikiliwa na Jeshi la Polisi leo tarehe 23 Septemba, 2024.
- Mheshimiwa Freeman Mbowe - Mwenyekiti wa Chama Taifa
- Mheshimiwa Tundu Lissu - Makamu Mwenyekiti Bara
- Mheshimiwa Benson Kigaila-Naibu Katibu Mkuu Bara
- Mheshimiwa Godbless Lema - Mwenyekiti wa Kanda ya Kaskazini
- Mheshimiwa Rhoda Kunchela - Mwenyekiti Mkoa wa Katavi
- Mheshimiwa Emmanuel Ntobi - Mwenyekiti Mkoa wa Shinyanga
- Mheshimiwa Aisha Madoga - Mwenyekiti wa Bavicha Mkoa Dodoma
- Mheshimiwa Jerome Ulomi- Katibu Mkoa wa Ilala
- Dr.Lilian Mtei - Mke wa Freeman Mbowe
- Nicole Freeman Mbowe (Wakili) na mtoto wa Freeman Mbowe
- Rosse Mramba - Mwenyekiti Bavicha Kawe
- Josephine Lwambuka - M/hazina Bawacha Kawe
- Othman Makame - Mwenyezi Bavicha Kawe
- Noel Charles - Mwenyezi Goba
- Amani Mwakalinga - Mwenyezi Kinzudi
- Mary Isack - Mwenyekiti Bazecha Kwembe
- Deonis Kimaro - Kwembe
- Edward Mphuru - Mwenyezi Segerea
- Edward Zombe - Mwenyekiti Bazecha Segerea
- John Peter - Segerea
- Paul Msangi - Segerea
- Abed Mdegela - Mwenyezi Pascal Mudaa - Segerea
- Leila Asali - Segerea
- Savera Madale - Segerea
- Emanuela Andrew - Mwenyekiti wa Bavicha Kinondoni
- Leocadia Njau - Mwenyekiti wa Bavicha Kinondoni