ODILI SAMALU
JF-Expert Member
- Dec 13, 2013
- 1,369
- 489
- Thread starter
- #21
kwanza ni maoni yako au kuna chanzo chochote ambacho umecite from it hii orodha?
kama una chanzo(source) kiweke hapa.
maanaa hiyo mzumbe na law nimeshikwa na mshtuko kidogo ndo maana nikakuuliza.law ya miaka mitatu kwa ngazi ya shahada ya kwanza?na yenye mwalimu profesa mmoja tuu kwenye faculty?ndo iishide law ya UDSM&SAUT..
WE DOGO UNA MZIMU UNAKUSUMBUA.TAFUTA TIBA KWA MANYAUNYAU
Hahahah LAW ya SAUT ndio mbovu kabisaaa inachukua mpaka iii.17/16 uje ufananishe na law ya mzumbe ya one tupu??? yani hata chuo kiwe na maprofesa 1000 wa law kama wanafunzi wanaochukuliwa ni wabovu hakuna cha maana! hebu pambanisha saut LL,B wanchukua mpaka iii.17 MZUMBE I.9 !