Orodha ya Wabunge wa CCM watakaoshindwa kurudi 2025

Orodha ya Wabunge wa CCM watakaoshindwa kurudi 2025

Tumaini magesa wa jimbo la busanda atakomea kura 3 tu, mpaka sasa wanabusanda wanatatuliwa shida zao na MTANZANIA MWENYE ASILI YA RWANDA, PACHA WA WAZIRI WA X NA OFISA MWANDAMIZ HUKO WIZARA YA MAMBO YA NJE KITUO CHA KAZI UBALOZ WA TZ MSUMBIJI.
 
Wabunge wengine wameingia bungeni kwa upepo au kwa kushtukiza na kwenye majimbo yao wamelala usingizi wanasubiri kupitishwa tena kurudi Dodoma bila jasho;-

1. Dkt. Kalemani
2. Msukuma
3. Prof. Ndalichako
4. Saashisha Mafue
5. Polepole
6. Priscus Tarimo
7. Dr Bashiru
8. ……………,
9. …………….,
Humjui Msukuma wewe,hata akienguliwa,akaenda upande wa pili anashinda tu. Ongelea hao wengine.
 
Wabunge wengine wameingia bungeni kwa upepo au kwa kushtukiza na kwenye majimbo yao wamelala usingizi wanasubiri kupitishwa tena kurudi Dodoma bila jasho;-

1. Dkt. Kalemani
2. Msukuma
3. Prof. Ndalichako
4. Saashisha Mafue
5. Polepole
6. Priscus Tarimo
7. Dr Bashiru
8. ……………,
9. …………….,
1. Ask. Gwajima
2. Nicholous Ngassa
3. Hamis Mwinjuma
4. Babu Tale
5.....
6.....
 
Wabunge wengine wameingia bungeni kwa upepo au kwa kushtukiza na kwenye majimbo yao wamelala usingizi wanasubiri kupitishwa tena kurudi Dodoma bila jasho;-

1. Dkt. Kalemani
2. Msukuma
3. Prof. Ndalichako
4. Saashisha Mafue
5. Polepole
6. Priscus Tarimo
7. Dr Bashiru
8. ……………,
9. …………….,

10 dr Tulia Akison
 
Wabunge wengine wameingia bungeni kwa upepo au kwa kushtukiza na kwenye majimbo yao wamelala usingizi wanasubiri kupitishwa tena kurudi Dodoma bila jasho;-

1. Dkt. Kalemani
2. Msukuma
3. Prof. Ndalichako
4. Saashisha Mafue
5. Polepole
6. Priscus Tarimo
7. Dr Bashiru
8. ……………,
9. …………….,
wote ambao Mwenyekiti wa CCM ataamua wasirudi, nchi hii ni ya mfumo chama kimoja.
 
Hao wataondoka watakuja wengine ambao pia watakua ni CCM.
 
Ukiona unaota ndoto za mchana kila wakati ujue karibu utakuwa chizi
Wabunge wengine wameingia bungeni kwa upepo au kwa kushtukiza na kwenye majimbo yao wamelala usingizi wanasubiri kupitishwa tena kurudi Dodoma bila jasho;-

1. Dkt. Kalemani
2. Msukuma
3. Prof. Ndalichako
4. Saashisha Mafue
5. Polepole
6. Priscus Tarimo
7. Dr Bashiru
8. ……………,
9. …………….,
 
Prof Ndalichako?

We jamaa utakua umeshiba Ulanzi. Mama anapiga kazi ambayo Hakuna mburura mwingine aliwahi kuifanya! Umekuru-P
 
Wabunge wengine wameingia bungeni kwa upepo au kwa kushtukiza na kwenye majimbo yao wamelala usingizi wanasubiri kupitishwa tena kurudi Dodoma bila jasho;-

1. Dkt. Kalemani
2. Msukuma
3. Prof. Ndalichako
4. Saashisha Mafue
5. Polepole
6. Priscus Tarimo
7. Dr Bashiru
8. ……………,
9. …………….,
Yule wa jalalani ni vipi? mbona hata hasikiki?
 
Msukuma anarudi bungeni.

Magesa wa Busanda holaaa
Wa Bukoba mjini holaaa
Akina Gwajima, Waitara, Silinde, Katambi and co. holaaaa.
 
Back
Top Bottom